Godbless Lema: Mungu tunakushukuru, Arusha asanteni sana

Godbless Lema: Mungu tunakushukuru, Arusha asanteni sana

Yaani Sugu alitaka CCM wasipate kura hata moja, kuna watu wana roho mbaya sana enh!!!
 
Walio na roho safi wanatambua maneno hayo si ya mtu mwenye roho mchafu bali Roho wa Mungu. Keep it higher Godbless. "Giza linapokuwa zito sana asubuhi inakaribia"
 
Nikiwa kama 'mwanaCCM' mwenye itikadi za TANU nawapa hongera sana CHADEMA kwa ushindi mkubwa lakini pia kwa namna walivyofanya kampeni zao kwa AMANI, HAKI na HEKIMA kubwa sana.

Pasipo kinyongo wala unafiki napenda kusema kuwa ni kweli kabisa CHADEMA kwa sasa ni chama kilichokomaa kisiasa.
Asante sana TanganyikaTANU Hata siku moja kabla ya uchaguzi ulitoa tathimini nzuri iliyokuwa inaonyesha kwanini ccm wanakwenda kushindwa, niliipenda sana japo kuna waliokubeza kwa kutetea buku saba, sasa wameona wewe ni mkongwe kwenye siasa kama ulivyo waambia, pia leo umedhihirisha ukomavu wako wa kisiasa
Juo ndio msimamo wa watu wa Arusha, naomba kaa na chama chako cha zamani wafundishe siasa za kistaaranu ili kipindi hiki cha kuelekea kufa wawe wameshajifunza jinsi ya kuwa cha imara cha upinzani.
 
ni furaha kwa wote, pia tuendelee kumuomba mungu asaidie na maeneo mengine wabadirike ili sote tuwe kitu kimoja na kuweza kuiona tanzania yenye heri na nafuu kwa mtanzania anayekamuliwa kila eneo na kuacha rasilimali zikifujwa. hamna kitu kinachoniuma kama buku langu kukatwa kila mwisho wa mwezi halafu leo hii mawaziri wanatupiana mpira vocha zenyewe za jero jero.
 
Nimependa Mh Sugu kuwa amejisikia vibaya CCM kupata kura hata hizo chache
 
Walio na roho safi wanatambua maneno hayo si ya mtu mwenye roho mchafu bali Roho wa Mungu. Keep it higher Godbless. "Giza linapokuwa zito sana asubuhi inakaribia". Godbless na Neema mnatumikia shauri la bwana
 
Lema ukianza Kwa ole medeye utuambie makamanda wako kwani Judi amefanya dhambi mbaya ya ukabila
 
Nazipokea shukran zako kamanda Lema kwa mikono miwili,umenigusa uliposema unawashukuru hata wazee waliokuwa nyumbani na bado wakafanya maombi"Nakili kuwa nilipiga magoti toka saa12 asbh,nikisali na kukemea hila za ccm na mapoliccm na mwisho wake maombi yangu yakatimia" ni furaha iliyoje kuwa na jembe kama wewe? hata rafiki yako mchungaji lukosi kaona kazi yako ilivyonyoka kama suruali iliyotoka kwa dobi ikingoja kuvaliwa mda wa kwenda kutoa mahali.

Tusirudi nyuma,tusonge mbele,tukichokozwa tusichoke kupeleka taarifa police,na siku ccm wakielewa kuwa hii nchi ni mali ya watanzania wote bila kujali itikadi zetu wala dini zetu wala rangi zetu hapo ndipo tutaishi kwa amani.

Asante chadema
Asante lema
Asante wana arusha
Asante watanzania kwa uelewa wenu

Tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu
 
Martin! Kuna miji yenye upinzani mkali zaidi ya Arusha. Mfano ni Musoma mjini. CCM ina viti 2, CUF 2 na CDM 9 wakati Arusha CCM 9, TLP 1 na CDM 9. Arusha pia wapo fit lakini nadhani makali ya upinzani sasa ni nchi nzima

Mkuu Moshi ni cdm 18 ccm 3
Ndio maana kule wamepiga kmya.
 
Asante sana mkuu, pia nimependa hii giza linapokuwa zito sana mjue asubuhi inakaribia, na ukisukumwa mara ya kwanza kubali kusukumwa mara ya pili, ukisukumwa mara ya pili kubali kusukumwa mara ya tatu, ukisukumwa mara ya nne sikiliza maelekezo ya mungu!!
 
Tuko pamoja mkuu katika harakati za kuwakomboa wananchi kutoka kwa wakoloni weusi. ALUTHA CONTI NUA.
 
Watz wa a town wengi wa wanavuta ganja na lema sijui yumo """ nenda mtwara kama una ubavu

Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Basi kama ni hivyo ganja ihalalishwe , vituo 136 hata kimoja ! Duh !
 
Tumeanza na Mungu tutamaliza na Mungu,CCM na pesa zao sisi na Watanzania wetu hongera Kamanda Lema,hongereni wat wa Arusha kwa kuonyesha njia

"Giza linapokuwa zito sana asubuhi inakaribia" Ahsante kamanda huu ni ukweli mtupu.

CCM wao wana Polisi, Mabomu na Risasi. Lakini sisi tuna silaha moja tu ambayo ni Sanduku la Kura.
 
Tungekuwa na Mbunge kama Lema Mwanza (Ilemela&Nyamagana), kanda ya ziwa yote ingekombolewa. Nakukubali sana Mh. Lema
 
wanapenda madaraka wanatoa hadi roho,
Hatuwataki tumewatosa wamezidisha uroho.
Nawapenda sana Arusha kwa somo mnalofundisha. Kuanzia sasa CCM hawana chao kwao sasa ni machweo Meya arudishe Cheo isiwe kesho hata leo
 
Ni ushuhuda wa kweli ya Mungu!
Mungu awabariki.
Unastahili kutunukiwa Phd. na Mmoja ya vyuo vikuu kutokana na mchango wako mkuu kwa demokrasia ya kweli.
Pia nampongeza Mkeo kwa Support anayokupa.
Mungu atakulipa kwa Kadri atakavyoona ina faa.
 
Back
Top Bottom