Hata kama elimu yake ni ndogo kama tunavyoaminishwa ila jamaa yupo smart kuliko hata hao wenye elimu kubwa hapa tz.....kasema kama kupigania haki ni fujo bs waendelee kumwita kinara wa fujo kwani hata nyerere wakt anapigania uhuru wazungu walisema anavunja sheria za nchi