Godbless Lema live Channel Ten

Sheet!Tanesco?Ndo nini hivi tunafanyiana mambo ya ajabu.Kukata tu bila taarifa manake nini bana???Watu tushapata na hasara za mafuta kufuatilia kinga'amuzi!!!Hongereni channel ten kwa kulipa hilo jembe air tm kwani smtm huwa linaminyiwa chini.
 
Ahadi moja tu imemshinda,mpuuzi tu huyu
 
Vipi kuhusu kujenga Machinga Complex mbili alizoahidi kafikia wapi.
 
Ana Advanced Diploma ni form 6 Leaver!!
 
Vipi kuhusu kujenga Machinga Complex mbili alizoahidi kafikia wapi.


Kati ya ahadi sitini na tisa (69), ngapi zimetekelezwa mpaka sasa
 
[QUOTE
lema ni mpiganaji hodari tena jasiri. lakini nampa ushauri kwamba katika ksema ukweli ajenge hoja kwa sentensi chache kisha kuhitimisha hoja yake kwa kuzingatia zile hoja. hapo wasikilizaji wake watashindwa kubisha au kumpinga. mfano kama unataka kusema X ni mwizi utaanza:
1. X anapata mshahara wa kima cha chini
2. X hajarithi mali popote na hana shughuli inayomwongezea kipato
3. X kwa muda mfupi ameweza kuhodhi jumba la kifahahari
4. X kwa vyovyote ni mwizi hivo ni lazima atueleze amepataje hizo fedha
hata madai ya udini yafaa yajengewe hoja kwa njia hii. akifanya hivi atajenga heshima kubwa
 
Vipi kuhusu kujenga Machinga Complex mbili alizoahidi kafikia wapi.

Ni watanzania wasiozidi watano tu ndo wanaokukia Lema wetu Ila mbingu inaona fahari juu yako.
 
Ahadi moja tu imemshinda,mpuuzi tu huyu

Mkuu mtu mwenye hekima na kujielewa ujenga hoja kuipinga hoja!sasa hapa wewe na Lema nani ataonekana mpuuzi?maana unachojaribu kufanya ni kuidanganya nafsi yako kwa kujiambia Lema ni mpuuzi lakini ukweli unaujua kua Lema ni muelewa kuliko wewe,na anajenga hoja zenye mashiko mpaka jamii inamuelewa na kumkubali,kujidanganya mwenyewe ni hatua ya mwisho kabisa ya u.p.u.m.b.a.v.u mkuu
 

kamanda lema usiniangushe, hatuna mlima wa pili mrefu duniani. Tuna mlima mrefu kabisa ndani ya bara la afrika.
 
kamanda lema usiniangushe, hatuna mlima wa pili mrefu duniani. Tuna mlima mrefu kabisa ndani ya bara la afrika.

Kunradhi, basi labda nilimnukuu vibaya, huenda hakutamka hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…