Godbless Lema kunyang'anywa jimbo la Arusha

Godbless Lema kunyang'anywa jimbo la Arusha

Uhakika ni kwamba ccm mwaka huu haitaambulia hata diwani mmoja Arusha , sasa huyo bilionea atapataje ubunge ? alishindwa lowasa ( mwenye hela kuliko yeyote ccm ! ) na mtu wake buriani unajua kilichompata , tunamsubiri huyo tajiri tutafune hela zake .
 
Kama Mabiliionea wangekuwa wanajenga majimboni kwao ahadi za serikali basi singida mjini wasingekosa maji. Igunga wangejulikana hata mbinguni na kilosa wangesafiri wangekuwa na kiwanja cha Ndege, Butiama wangekuwa na Tawi angalau la M-Bank. Kuongozwa na billionea kwa kuwa tu ni billionea ni ufinyu mkubwa wa akilli na matumizi mabaya ya akili yako
 
Nenda jukwaa la celebrity utakuta au we mgeni hapa?

Ndiyo maana linaitwa Celebrity na si Jukwaa la Siasa.......dhaaaaaa!!
2008 na 2013 nani sijui ni mgeni hapa kuliko mwingine, hata kama 2008 itaonyesha kuwa mgeni zaidi but at least nina kumbukumbu kuwa kuna jukwaa la UDAKU kwenye JF ambako hiyo stori ilitakiwa kupelekwa huko.


attachment.php
 

Attachments

  • UWAZI.JPG
    UWAZI.JPG
    77 KB · Views: 594
Ndiyo maana linaitwa Celebrity na si Jukwaa la Siasa.......dhaaaaaa!!
2008 na 2013 nani sijui ni mgeni hapa kuliko mwingine, hata kama 2008 itaonyesha kuwa mgeni zaidi but nina kumbukumbu kuwa kuna jukwaa la UDAKU kwenye JF ambako hiyo stori ilitakiwa kupelekwa huko.


attachment.php

Sasa cha kushangaza ni nini hapo??
 
Mkuu lema ameifanyia nini Arusha ukiacha Arusha imemjengea ghorofa njiro yeye ameifanyia nini Arusha??
Lema ametetea Mambo mengi sana Arusha ambayo ccm walikua wanataifisha rejea Thread yangu yakipindi cha nyuma niliyoweka hapa
 
Mathias Manga na Lowassa hawana uwezo wa kumtoa Lema Arusha.
CCM kuhusu Arusha mnajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe.
 
Lema ametetea Mambo mengi sana Arusha ambayo ccm walikua wanataifisha rejea Thread yangu yakipindi cha nyuma niliyoweka hapa

Hospital ya mama na watoto? Machinga complex achilia mbali ambulance aluzouza baada ya kupewa na wabongo wa UK yeye akamuuzia mdosi.
 
amesahau pesa siyo kila kitu siku hizi tutakula pesa zake ila kura ajipigie mwenyewe na familia yake wale wenye njaaa kama yeye na ulafi wa madaraka
 
ccm haitapata diwani hata mmoja Arusha kwa hiyo acheni hata kuwaza ubunge
 
Lema ni noma amefanikiwa kiasi cha matajiri kuanza kuhangaika kiasi hicho?
Vijana wa arusha kaeni mkao wa kula
 
Back
Top Bottom