Chungurumbira
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,170
- 571
CCM ni chama danganyifu na hivyo wao pesa ndio mambo yote! Kwani mwaka 2010 CDM ilipata wabunge wake kwa kuwa walitoa mlungura kwa nani?
KUMEKUCHA! Duru za kisiasa katika Jimbo la Arusha Mjini zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa mbunge anayeliongoza jimbo hilo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Jonathan Lema kuangushwa katika uchaguzi mkuu ujao baada ya mfanyabiashara mkubwa (bilionea) mmoja (jina kapuni) jijini hapa, kudaiwa kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili kuumaliza ufalme wa Lema
Wapiga kura mbalimbali wa jimbo hilo waliozungumza na Uwazi Mizengwe, wamebainisha hilo. Kuna wachache ambao wamesema Lema hawezi kungoka lakini wengi wao wamesema atangoka kutokana na nguvu kubwa ya ushawishi aliyonayo mfanyabiashara huyo ambaye atagombea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Lema hawezi kurudi bungeni tena maana jamaa (bilionea) kajipanga sana na ukizingatia ni mzawa wa Mtaa wa National Milling ambaye amewekeza katika biashara mbalimbali, anakubalika katika jamii kwani anajitoa sana, hakika atamngoa nakuhakikishia, alisema mkazi mmoja wa Arusha kwa sharti la kutoandikwa jina lake gazetini.
Mkazi mwingine wa jimbo hilo ambaye pia hakupenda jina lake liandikwe gazetini, alisema licha ya kufanikiwa kutimiza baadhi ya ahadi zake lakini Lema ameshindwa kutekeleza ahadi nyingi likiwemo suala la jengo la Machinga Complex ambalo aliahidi kulifanikisha.
Kuna mambo mengi tu ya msingi ambayo wapiga kura tumeona hajakamilisha hususan suala la Machinga Complex, bado ni kitendawili, sidhani kama atapenya uchaguzi ujao na ukizingatia kuna mfanyabiashara maarufu ambaye tayari ameonesha nia ya dhati ya kutaka kumaliza kero nyingi za Arusha Mjini, alisema mkazi huyo.
Kuhusu madai ya kutokamilisha ahadi ya kujenga jengo la Machinga Complex, kwa nyakati tofauti Lema amekuwa akikaririwa na vyombo vya habari akisema ameshindwa kuikamilisha ahadi hiyo kwa kile alichodai ni kuwekewa mizengwe na Halmashauri ya Jiji la Arusha.
Hakunaga ccm Arusha
Bilionea wa Monaban?
Kaa mkao tutakupa wasifu wake wa nje na wa ndani. Naona ameamua kufa na pressure
Hivi ktk ma great thinker na wewe umo??
Mathias manga anatumika tu kama mpira hyo hana jipya
KUMEKUCHA! Duru za kisiasa katika Jimbo la Arusha Mjini zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa mbunge anayeliongoza jimbo hilo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Jonathan Lema kuangushwa katika uchaguzi mkuu ujao baada ya mfanyabiashara mkubwa (bilionea) mmoja (jina kapuni) jijini hapa, kudaiwa kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili kuumaliza ufalme wa Lema
Wapiga kura mbalimbali wa jimbo hilo waliozungumza na Uwazi Mizengwe, wamebainisha hilo. Kuna wachache ambao wamesema Lema hawezi kungoka lakini wengi wao wamesema atangoka kutokana na nguvu kubwa ya ushawishi aliyonayo mfanyabiashara huyo ambaye atagombea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Lema hawezi kurudi bungeni tena maana jamaa (bilionea) kajipanga sana na ukizingatia ni mzawa wa Mtaa wa National Milling ambaye amewekeza katika biashara mbalimbali, anakubalika katika jamii kwani anajitoa sana, hakika atamngoa nakuhakikishia, alisema mkazi mmoja wa Arusha kwa sharti la kutoandikwa jina lake gazetini.
Mkazi mwingine wa jimbo hilo ambaye pia hakupenda jina lake liandikwe gazetini, alisema licha ya kufanikiwa kutimiza baadhi ya ahadi zake lakini Lema ameshindwa kutekeleza ahadi nyingi likiwemo suala la jengo la Machinga Complex ambalo aliahidi kulifanikisha.
Kuna mambo mengi tu ya msingi ambayo wapiga kura tumeona hajakamilisha hususan suala la Machinga Complex, bado ni kitendawili, sidhani kama atapenya uchaguzi ujao na ukizingatia kuna mfanyabiashara maarufu ambaye tayari ameonesha nia ya dhati ya kutaka kumaliza kero nyingi za Arusha Mjini, alisema mkazi huyo.
Kuhusu madai ya kutokamilisha ahadi ya kujenga jengo la Machinga Complex, kwa nyakati tofauti Lema amekuwa akikaririwa na vyombo vya habari akisema ameshindwa kuikamilisha ahadi hiyo kwa kile alichodai ni kuwekewa mizengwe na Halmashauri ya Jiji la Arusha.
KUMEKUCHA! Duru za kisiasa katika Jimbo la Arusha Mjini zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa mbunge anayeliongoza jimbo hilo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Jonathan Lema kuangushwa katika uchaguzi mkuu ujao baada ya mfanyabiashara mkubwa (bilionea) mmoja (jina kapuni) jijini hapa, kudaiwa kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili kuumaliza ufalme wa Lema
Wapiga kura mbalimbali wa jimbo hilo waliozungumza na Uwazi Mizengwe, wamebainisha hilo. Kuna wachache ambao wamesema Lema hawezi kungoka lakini wengi wao wamesema atangoka kutokana na nguvu kubwa ya ushawishi aliyonayo mfanyabiashara huyo ambaye atagombea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Lema hawezi kurudi bungeni tena maana jamaa (bilionea) kajipanga sana na ukizingatia ni mzawa wa Mtaa wa National Milling ambaye amewekeza katika biashara mbalimbali, anakubalika katika jamii kwani anajitoa sana, hakika atamngoa nakuhakikishia, alisema mkazi mmoja wa Arusha kwa sharti la kutoandikwa jina lake gazetini.
Mkazi mwingine wa jimbo hilo ambaye pia hakupenda jina lake liandikwe gazetini, alisema licha ya kufanikiwa kutimiza baadhi ya ahadi zake lakini Lema ameshindwa kutekeleza ahadi nyingi likiwemo suala la jengo la Machinga Complex ambalo aliahidi kulifanikisha.
Kuna mambo mengi tu ya msingi ambayo wapiga kura tumeona hajakamilisha hususan suala la Machinga Complex, bado ni kitendawili, sidhani kama atapenya uchaguzi ujao na ukizingatia kuna mfanyabiashara maarufu ambaye tayari ameonesha nia ya dhati ya kutaka kumaliza kero nyingi za Arusha Mjini, alisema mkazi huyo.
Kuhusu madai ya kutokamilisha ahadi ya kujenga jengo la Machinga Complex, kwa nyakati tofauti Lema amekuwa akikaririwa na vyombo vya habari akisema ameshindwa kuikamilisha ahadi hiyo kwa kile alichodai ni kuwekewa mizengwe na Halmashauri ya Jiji la Arusha.
Hekaya za Abunuwasi haziishi watu kwa kutkutunga maneno ni hatari. Eti tajiri hivi huyu tajiri anajichagua mwenyewe hivi huko Arusha hakuna watu eeh au kuna maboksi labdaKUMEKUCHA! Duru za kisiasa katika Jimbo la Arusha Mjini zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa mbunge anayeliongoza jimbo hilo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Jonathan Lema kuangushwa katika uchaguzi mkuu ujao baada ya mfanyabiashara mkubwa (bilionea) mmoja (jina kapuni) jijini hapa, kudaiwa kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili kuumaliza ufalme wa Lema
Wapiga kura mbalimbali wa jimbo hilo waliozungumza na Uwazi Mizengwe, wamebainisha hilo. Kuna wachache ambao wamesema Lema hawezi kungoka lakini wengi wao wamesema atangoka kutokana na nguvu kubwa ya ushawishi aliyonayo mfanyabiashara huyo ambaye atagombea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Lema hawezi kurudi bungeni tena maana jamaa (bilionea) kajipanga sana na ukizingatia ni mzawa wa Mtaa wa National Milling ambaye amewekeza katika biashara mbalimbali, anakubalika katika jamii kwani anajitoa sana, hakika atamngoa nakuhakikishia, alisema mkazi mmoja wa Arusha kwa sharti la kutoandikwa jina lake gazetini.
Mkazi mwingine wa jimbo hilo ambaye pia hakupenda jina lake liandikwe gazetini, alisema licha ya kufanikiwa kutimiza baadhi ya ahadi zake lakini Lema ameshindwa kutekeleza ahadi nyingi likiwemo suala la jengo la Machinga Complex ambalo aliahidi kulifanikisha.
Kuna mambo mengi tu ya msingi ambayo wapiga kura tumeona hajakamilisha hususan suala la Machinga Complex, bado ni kitendawili, sidhani kama atapenya uchaguzi ujao na ukizingatia kuna mfanyabiashara maarufu ambaye tayari ameonesha nia ya dhati ya kutaka kumaliza kero nyingi za Arusha Mjini, alisema mkazi huyo.
Kuhusu madai ya kutokamilisha ahadi ya kujenga jengo la Machinga Complex, kwa nyakati tofauti Lema amekuwa akikaririwa na vyombo vya habari akisema ameshindwa kuikamilisha ahadi hiyo kwa kile alichodai ni kuwekewa mizengwe na Halmashauri ya Jiji la Arusha.
nimependezwa na majibu yenu sina cha kuongeza