Godbless Lema kunyang'anywa jimbo la Arusha

Godbless Lema kunyang'anywa jimbo la Arusha

CCM ni chama danganyifu na hivyo wao pesa ndio mambo yote! Kwani mwaka 2010 CDM ilipata wabunge wake kwa kuwa walitoa mlungura kwa nani?
 
KUMEKUCHA! Duru za kisiasa katika Jimbo la Arusha Mjini zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa mbunge anayeliongoza jimbo hilo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Jonathan Lema kuangushwa katika uchaguzi mkuu ujao baada ya mfanyabiashara mkubwa (bilionea) mmoja (jina kapuni) jijini hapa, kudaiwa kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili kuumaliza ufalme wa Lema

Wapiga kura mbalimbali wa jimbo hilo waliozungumza na Uwazi Mizengwe, wamebainisha hilo. Kuna wachache ambao wamesema Lema hawezi kung’oka lakini wengi wao wamesema atang’oka kutokana na nguvu kubwa ya ushawishi aliyonayo mfanyabiashara huyo ambaye atagombea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

“Lema hawezi kurudi bungeni tena maana jamaa (bilionea) kajipanga sana na ukizingatia ni mzawa wa Mtaa wa National Milling ambaye amewekeza katika biashara mbalimbali, anakubalika katika jamii kwani anajitoa sana, hakika atamng’oa nakuhakikishia,” alisema mkazi mmoja wa Arusha kwa sharti la kutoandikwa jina lake gazetini.

Mkazi mwingine wa jimbo hilo ambaye pia hakupenda jina lake liandikwe gazetini, alisema licha ya kufanikiwa kutimiza baadhi ya ahadi zake lakini Lema ameshindwa kutekeleza ahadi nyingi likiwemo suala la jengo la Machinga Complex ambalo aliahidi kulifanikisha.
“Kuna mambo mengi tu ya msingi ambayo wapiga kura tumeona hajakamilisha hususan suala la Machinga Complex, bado ni kitendawili, sidhani kama atapenya uchaguzi ujao na ukizingatia kuna mfanyabiashara maarufu ambaye tayari ameonesha nia ya dhati ya kutaka kumaliza kero nyingi za Arusha Mjini,” alisema mkazi huyo.

Kuhusu madai ya kutokamilisha ahadi ya kujenga jengo la Machinga Complex, kwa nyakati tofauti Lema amekuwa akikaririwa na vyombo vya habari akisema ameshindwa kuikamilisha ahadi hiyo kwa kile alichodai ni kuwekewa mizengwe na Halmashauri ya Jiji la Arusha.

Kama habari hizo ni za kweli inaonekana CCM bado wanataka kutumia mbinu yao ile ile ya kutoa rushwa katika kutafuta uongozi, mimi sitaki kuamini kwamba huyo bilionea atafani9kiwa kuwahonga wapiga kura wote wa jimbo la Arusha bila kukutana na mkono wa dora (takukuru) na kama hilo litatokea basi nitaamini nchi hii haina taasisi ya kuzuia rushwa na kwamba ile iliyopo inakula fedha zetu bure. Haiwezekani mtu aandikwe kwenye vyombo vya habari kwamba anajiandaa kutumia rushwa ili ashinde halafu hilo litokee kweli, haiwezekani kwa takukuru ninayoifahamu mimi.
 
Wapiga kura wa Arusha kaeni mkao wa kula hizo fedha za huyo anayeitwa bilionea. Huyo anatakiwa apewe funzo, mnapiga hela yake vizuri,ila kwenye sanduku la kura akili kichwani! Haki hainunuliwi jamani!
 
dah kumbe lema gharama sana? nilidhani atang'olewa kwa hoja kumbe mabilioni
 
Mathias manga anatumika tu kama mpira hyo hana jipya

Haaa kumbe ni huyo pimbi aende zake mererani bwana pesa italiwa alafu ndio wataipenda hao ma brocker hapo mjini ndio wana mdanganya haya bwana tutakutana mwezi wa toba october.!
 
Ujinga mtupu nilijua mtu wa maana kumbe ni huyo jamaa hela imejaa inawasha sasa, alafu mafisadi wamesha mdanganya ili awape kick siyo. Haya bwana yetu macho hiyo ni tisa kumi ni kwenye mwezi wa toba october....!!!
 
KUMEKUCHA! Duru za kisiasa katika Jimbo la Arusha Mjini zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa mbunge anayeliongoza jimbo hilo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Jonathan Lema kuangushwa katika uchaguzi mkuu ujao baada ya mfanyabiashara mkubwa (bilionea) mmoja (jina kapuni) jijini hapa, kudaiwa kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili kuumaliza ufalme wa Lema

Wapiga kura mbalimbali wa jimbo hilo waliozungumza na Uwazi Mizengwe, wamebainisha hilo. Kuna wachache ambao wamesema Lema hawezi kung’oka lakini wengi wao wamesema atang’oka kutokana na nguvu kubwa ya ushawishi aliyonayo mfanyabiashara huyo ambaye atagombea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

“Lema hawezi kurudi bungeni tena maana jamaa (bilionea) kajipanga sana na ukizingatia ni mzawa wa Mtaa wa National Milling ambaye amewekeza katika biashara mbalimbali, anakubalika katika jamii kwani anajitoa sana, hakika atamng’oa nakuhakikishia,” alisema mkazi mmoja wa Arusha kwa sharti la kutoandikwa jina lake gazetini.

Mkazi mwingine wa jimbo hilo ambaye pia hakupenda jina lake liandikwe gazetini, alisema licha ya kufanikiwa kutimiza baadhi ya ahadi zake lakini Lema ameshindwa kutekeleza ahadi nyingi likiwemo suala la jengo la Machinga Complex ambalo aliahidi kulifanikisha.
“Kuna mambo mengi tu ya msingi ambayo wapiga kura tumeona hajakamilisha hususan suala la Machinga Complex, bado ni kitendawili, sidhani kama atapenya uchaguzi ujao na ukizingatia kuna mfanyabiashara maarufu ambaye tayari ameonesha nia ya dhati ya kutaka kumaliza kero nyingi za Arusha Mjini,” alisema mkazi huyo.

Kuhusu madai ya kutokamilisha ahadi ya kujenga jengo la Machinga Complex, kwa nyakati tofauti Lema amekuwa akikaririwa na vyombo vya habari akisema ameshindwa kuikamilisha ahadi hiyo kwa kile alichodai ni kuwekewa mizengwe na Halmashauri ya Jiji la Arusha.

Huyo 'bilionea' hana jina?? hiyo ni ishara ya woga, aje amwage hizo bilions zitaliwa na hapati hata akigombea udiwani
 
KUMEKUCHA! Duru za kisiasa katika Jimbo la Arusha Mjini zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa mbunge anayeliongoza jimbo hilo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Jonathan Lema kuangushwa katika uchaguzi mkuu ujao baada ya mfanyabiashara mkubwa (bilionea) mmoja (jina kapuni) jijini hapa, kudaiwa kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili kuumaliza ufalme wa Lema

Wapiga kura mbalimbali wa jimbo hilo waliozungumza na Uwazi Mizengwe, wamebainisha hilo. Kuna wachache ambao wamesema Lema hawezi kung’oka lakini wengi wao wamesema atang’oka kutokana na nguvu kubwa ya ushawishi aliyonayo mfanyabiashara huyo ambaye atagombea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

“Lema hawezi kurudi bungeni tena maana jamaa (bilionea) kajipanga sana na ukizingatia ni mzawa wa Mtaa wa National Milling ambaye amewekeza katika biashara mbalimbali, anakubalika katika jamii kwani anajitoa sana, hakika atamng’oa nakuhakikishia,” alisema mkazi mmoja wa Arusha kwa sharti la kutoandikwa jina lake gazetini.

Mkazi mwingine wa jimbo hilo ambaye pia hakupenda jina lake liandikwe gazetini, alisema licha ya kufanikiwa kutimiza baadhi ya ahadi zake lakini Lema ameshindwa kutekeleza ahadi nyingi likiwemo suala la jengo la Machinga Complex ambalo aliahidi kulifanikisha.
“Kuna mambo mengi tu ya msingi ambayo wapiga kura tumeona hajakamilisha hususan suala la Machinga Complex, bado ni kitendawili, sidhani kama atapenya uchaguzi ujao na ukizingatia kuna mfanyabiashara maarufu ambaye tayari ameonesha nia ya dhati ya kutaka kumaliza kero nyingi za Arusha Mjini,” alisema mkazi huyo.

Kuhusu madai ya kutokamilisha ahadi ya kujenga jengo la Machinga Complex, kwa nyakati tofauti Lema amekuwa akikaririwa na vyombo vya habari akisema ameshindwa kuikamilisha ahadi hiyo kwa kile alichodai ni kuwekewa mizengwe na Halmashauri ya Jiji la Arusha.


Niwaase wananchi wenzangu wa Arusha kuwa,mkiletewa pesa msiache kula ni zenu na inawezekana kabisa ni hizi zinazoibiwa kifisadi Serikalini kila siku.Sasa CCM wanataka kumuweka mtu wao na kumuendesha kwa remote hivyo zikija kuleni ,kura wapeni Chadema wenye dhamira ya kweli ya uongozi tofauti na CCM uongozi kwao unanunuliwa ama unapatikana kwa mabomu na risasi za moto
 
KUMEKUCHA! Duru za kisiasa katika Jimbo la Arusha Mjini zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa mbunge anayeliongoza jimbo hilo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Jonathan Lema kuangushwa katika uchaguzi mkuu ujao baada ya mfanyabiashara mkubwa (bilionea) mmoja (jina kapuni) jijini hapa, kudaiwa kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili kuumaliza ufalme wa Lema

Wapiga kura mbalimbali wa jimbo hilo waliozungumza na Uwazi Mizengwe, wamebainisha hilo. Kuna wachache ambao wamesema Lema hawezi kung’oka lakini wengi wao wamesema atang’oka kutokana na nguvu kubwa ya ushawishi aliyonayo mfanyabiashara huyo ambaye atagombea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

“Lema hawezi kurudi bungeni tena maana jamaa (bilionea) kajipanga sana na ukizingatia ni mzawa wa Mtaa wa National Milling ambaye amewekeza katika biashara mbalimbali, anakubalika katika jamii kwani anajitoa sana, hakika atamng’oa nakuhakikishia,” alisema mkazi mmoja wa Arusha kwa sharti la kutoandikwa jina lake gazetini.

Mkazi mwingine wa jimbo hilo ambaye pia hakupenda jina lake liandikwe gazetini, alisema licha ya kufanikiwa kutimiza baadhi ya ahadi zake lakini Lema ameshindwa kutekeleza ahadi nyingi likiwemo suala la jengo la Machinga Complex ambalo aliahidi kulifanikisha.
“Kuna mambo mengi tu ya msingi ambayo wapiga kura tumeona hajakamilisha hususan suala la Machinga Complex, bado ni kitendawili, sidhani kama atapenya uchaguzi ujao na ukizingatia kuna mfanyabiashara maarufu ambaye tayari ameonesha nia ya dhati ya kutaka kumaliza kero nyingi za Arusha Mjini,” alisema mkazi huyo.

Kuhusu madai ya kutokamilisha ahadi ya kujenga jengo la Machinga Complex, kwa nyakati tofauti Lema amekuwa akikaririwa na vyombo vya habari akisema ameshindwa kuikamilisha ahadi hiyo kwa kile alichodai ni kuwekewa mizengwe na Halmashauri ya Jiji la Arusha.
Hekaya za Abunuwasi haziishi watu kwa kutkutunga maneno ni hatari. Eti tajiri hivi huyu tajiri anajichagua mwenyewe hivi huko Arusha hakuna watu eeh au kuna maboksi labda
 
CCM wanaamini sana katika matumizi ya hela kuwahonga wapiga kura! Arusha wanajitambua, watachukua fedha za huyo bilionea na baada ya hapo kichapo kitaendelea tu ...
 
Kaka Rich bado uko na fikra za kale,kwa kukusaidia tu ni kuwa wanaarusha hawakumchagua Lema kwa sababu ccm haijafanya chochote, wanaarusha wanataka mabadiliko kwa maana wamechoshwa tuu na ccm, na ndio maana pamoja na hila lukuki za ccm bado matokeo ya uchaguzi serikali za mitaa yameifavour chadema.Lema na Chadema watashinda arusha tena kwa kishindo kikubwa hata akigombea Kinana.Na hivi ndivyo itakavyokuwa Nyamagana,Ilemela,Shinyanga mjini n.k. vijana hawaitaki ccm,wazee na akina mama nao wameshashtuka, yaani umebaki tu wewe Rich na vijana wenzio mnaochumia matumbo na kwa ccm kuendelea kutawala ni ulaji na mtaji wenu tosha.
 
Back
Top Bottom