Godbless Lema kunyang'anywa jimbo la Arusha

Godbless Lema kunyang'anywa jimbo la Arusha

Hizi ni hadithi za Juma na ulele, Kamwe kamwe Kamanda Lema hawezi kuondolewa na CCM, kwanza ccm msahau kabisa jimbo la Arusha mjini milele.
 
KUMEKUCHA! Duru za kisiasa katika Jimbo la Arusha Mjini zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa mbunge anayeliongoza jimbo hilo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Jonathan Lema kuangushwa katika uchaguzi mkuu ujao baada ya mfanyabiashara mkubwa (bilionea) mmoja (jina kapuni) jijini hapa, kudaiwa kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili kuumaliza ufalme wa Lema

Wapiga kura mbalimbali wa jimbo hilo waliozungumza na Uwazi Mizengwe, wamebainisha hilo. Kuna wachache ambao wamesema Lema hawezi kung’oka lakini wengi wao wamesema atang’oka kutokana na nguvu kubwa ya ushawishi aliyonayo mfanyabiashara huyo ambaye atagombea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

“Lema hawezi kurudi bungeni tena maana jamaa (bilionea) kajipanga sana na ukizingatia ni mzawa wa Mtaa wa National Milling ambaye amewekeza katika biashara mbalimbali, anakubalika katika jamii kwani anajitoa sana, hakika atamng’oa nakuhakikishia,” alisema mkazi mmoja wa Arusha kwa sharti la kutoandikwa jina lake gazetini.

Mkazi mwingine wa jimbo hilo ambaye pia hakupenda jina lake liandikwe gazetini, alisema licha ya kufanikiwa kutimiza baadhi ya ahadi zake lakini Lema ameshindwa kutekeleza ahadi nyingi likiwemo suala la jengo la Machinga Complex ambalo aliahidi kulifanikisha.
“Kuna mambo mengi tu ya msingi ambayo wapiga kura tumeona hajakamilisha hususan suala la Machinga Complex, bado ni kitendawili, sidhani kama atapenya uchaguzi ujao na ukizingatia kuna mfanyabiashara maarufu ambaye tayari ameonesha nia ya dhati ya kutaka kumaliza kero nyingi za Arusha Mjini,” alisema mkazi huyo.

Kuhusu madai ya kutokamilisha ahadi ya kujenga jengo la Machinga Complex, kwa nyakati tofauti Lema amekuwa akikaririwa na vyombo vya habari akisema ameshindwa kuikamilisha ahadi hiyo kwa kile alichodai ni kuwekewa mizengwe na Halmashauri ya Jiji la Arusha.
kwa hiyo ccm mnategemea mabilionea ili kuokoa majimbo yaliyo chini ya ukombozi halisi wa wananchi? shame on you,ila elewa haki hainunuliwi :lol::lol::juggle:
 
Lema ataudhuria mikutano mitatu tu ya kampeni uzinduzi, katikati ya kampeni atakuja kusalimia makamanda wanao ongoza kampeni na siku ya kupiga kura atakuja kupiga kura yake na kutangazwa mshindi.... aidha siku zingine atakuwa ana wapa support wagombea kwenye majimbo mengine Tanzania... hiyo ndiyo ratiba na habari ndiyo hiyo...kama chungu tema.
 
Source: Gazeti la UWAZI. Rich Pol kumbe haya ndiyo magazeti yako unayosoma?

Hivi hamna jukwaa la Udaku humu?
Mods mtusaidie kwa hili pls
 
Last edited by a moderator:
bola jimbo lilud kwa mzawa ni aibu kwa jiji kama la arusha kuongozwa na mtu wa kuja miaka yote inamaana hakuna mzawa wakuwezakuongoza Arusha mpaka mumpe huyo mwizi wa magali, angalieni sasa tangu mumchague hana cha maana anacho fanya zaid ya maandamano
 
CCM inaweza chukua ARK endapo viongozi wake watakuwa na tabia ya kiwajali wananchi.Angalia wanavyoongea wakiwa majukwaani na kwenye bunge....wanajifanya wao ni miungu.Na ili wawe wazuri,ni lazima wakae nje ya madaraka kwanza waone ni wapi walipokuwa wanakosea.
 
Mimi huwa nawashangaaga nyie binadam mnaposema jamaa kajipanga mno...ooh mara anahela sana...inamaana atahonga hizo hela kwa wapiga kura wote arusha?Hizo ni hela zakuhonga ili jina lake lipitishwe agombee..lazma tutofautishe hayo mambo mawili..kuhonga ili agombee na kuhonga wapiga kura....na kibaya zaidi wapiga kura wa Arusha hawaongeki sasa.!!!

Na ukiwahonga Ujue umepoteza Maana Hela wataila Na Kura Utakosa aulize Sombetini mwaka Jana alichofanyiwa Yule mgombea wa Ccm ndo atajua.
 
KUMEKUCHA! Duru za kisiasa katika Jimbo la Arusha Mjini zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa mbunge anayeliongoza jimbo hilo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Jonathan Lema kuangushwa katika uchaguzi mkuu ujao baada ya mfanyabiashara mkubwa (bilionea) mmoja (jina kapuni) jijini hapa, kudaiwa kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili kuumaliza ufalme wa Lema

Wapiga kura mbalimbali wa jimbo hilo waliozungumza na Uwazi Mizengwe, wamebainisha hilo. Kuna wachache ambao wamesema Lema hawezi kung’oka lakini wengi wao wamesema atang’oka kutokana na nguvu kubwa ya ushawishi aliyonayo mfanyabiashara huyo ambaye atagombea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

“Lema hawezi kurudi bungeni tena maana jamaa (bilionea) kajipanga sana na ukizingatia ni mzawa wa Mtaa wa National Milling ambaye amewekeza katika biashara mbalimbali, anakubalika katika jamii kwani anajitoa sana, hakika atamng’oa nakuhakikishia,” alisema mkazi mmoja wa Arusha kwa sharti la kutoandikwa jina lake gazetini.

Mkazi mwingine wa jimbo hilo ambaye pia hakupenda jina lake liandikwe gazetini, alisema licha ya kufanikiwa kutimiza baadhi ya ahadi zake lakini Lema ameshindwa kutekeleza ahadi nyingi likiwemo suala la jengo la Machinga Complex ambalo aliahidi kulifanikisha.
“Kuna mambo mengi tu ya msingi ambayo wapiga kura tumeona hajakamilisha hususan suala la Machinga Complex, bado ni kitendawili, sidhani kama atapenya uchaguzi ujao na ukizingatia kuna mfanyabiashara maarufu ambaye tayari ameonesha nia ya dhati ya kutaka kumaliza kero nyingi za Arusha Mjini,” alisema mkazi huyo.

Kuhusu madai ya kutokamilisha ahadi ya kujenga jengo la Machinga Complex, kwa nyakati tofauti Lema amekuwa akikaririwa na vyombo vya habari akisema ameshindwa kuikamilisha ahadi hiyo kwa kile alichodai ni kuwekewa mizengwe na Halmashauri ya Jiji la Arusha.
mkuu soma maandiko ukutani arusha hawahitaji bilionea ili awe mbunge wamechoka chama cha mapinduzi ,arusha weka bilionea wa ccm na jiwe watachagua jiwe liwe chademA SI VINGINEVYO.
 
no problem. time will tell. when God is by our side who is against us?
 
Wana Arusha mkipewa hizo hela kuleni no jasho lenu . cha msingi msirogwe kudanganyika kwa kuwauzia kadi za kupigia kura . Hiyo no mbinu ambayo hawa jamaa wanatumiaga . wananunua kadi siku kadhaa za kuelekea uchaguzi. Pesa kuleni na nyingine mkita ka hayo mabilioni nipeni Mimi ila kura napiga na lazima Nipigie ukawa bola kujali kuna jiwe au MTU.
 
bola jimbo lilud kwa mzawa ni aibu kwa jiji kama la arusha kuongozwa na mtu wa kuja miaka yote inamaana hakuna mzawa wakuwezakuongoza Arusha mpaka mumpe huyo mwizi wa magali, angalieni sasa tangu mumchague hana cha maana anacho fanya zaid ya maandamano

Akili zako zinafanana na mwandiko wako..
 
Huyu bilionea anapendwa sana na vijana wa Arusha, Lema aanze kufungasha viroba vyake mapema
 
Hizi ni hadithi za Juma na ulele, Kamwe kamwe Kamanda Lema hawezi kuondolewa na CCM, kwanza ccm msahau kabisa jimbo la Arusha mjini milele.

Chadema si mnategemea kura za wachagga tu? Waarusha, wamasai, wameru,waislam na makabila mengine kura zao mtazisikia bombani tu
 
bola jimbo lilud kwa mzawa ni aibu kwa jiji kama la arusha kuongozwa na mtu wa kuja miaka yote inamaana hakuna mzawa wakuwezakuongoza Arusha mpaka mumpe huyo mwizi wa magali, angalieni sasa tangu mumchague hana cha maana anacho fanya zaid ya maandamano

Lazima jimbo lirudi kwa mzawa, mmasai au mwarusha tumechoka kutawaliwa na wachagga halafu wanatudharau,
 
Lema alipitishwa kwa kura ya wana CCM ambayo ilikuwa ni ya chuki dhidi ya mgombea wao Mama Burhani, kwa hiyo hana chake tena, kama Msigwa vile
 
Lema uchaguzi uliopita aliwamtukana sana batilda kwa sababu ni muislam, safari hii ajiandae kuona hasira zao, waarusha na wamasai nao wanataka mji wao
 
Kula ccm kura chademaaaaaaa.mim nawashauri ccm arusha wasisimamishe mtu kabisa mana watapoteza pesa bureee
 
Back
Top Bottom