Sasa ndio nimeamini chadema nichama cha udini pamoja na viongozi wao wote ,hiki chama nihatari sana maslahi ya taifa letu
Uchamungu upo moyoni mwa mtu sio kutangaza kwa UMMA!
Sasa ndio nimeamini chadema nichama cha udini pamoja na viongozi wao wote ,hiki chama nihatari sana maslahi ya taifa letu
wakristo tumefundishwa kusamehe sasa sielewi ni Mungu gani atakayepokea hayo maombi ya kulipiza kisasi
Sasa ndio nimeamini chadema nichama cha udini pamoja na viongozi wao wote ,hiki chama nihatari sana maslahi ya taifa letu
Uchamungu upo moyoni mwa mtu sio kutangaza kwa UMMA!
wakristo tumefundishwa kusamehe sasa sielewi ni Mungu gani atakayepokea hayo maombi ya kulipiza kisasi
Sasa ndio nimeamini chadema nichama cha udini pamoja na viongozi wao wote ,hiki chama nihatari sana maslahi ya taifa letu
kweli ufinyu wa akili na mavi pia huchangia! Mbona mi sio mchaga lakini among wa makamnda wa cdm au na zitto naye ni mchaga?
Alafu naskia pro-ccm hamtaki kusikia neno mungu.?
Yani kabisa,sio udini tu,ukabila pia.hawana busara kabisa hawa watu.wananchi wanatakiwa kuwa na umakini wa hali ya juu ktk kuchagua viongozi wao.mi kuna sehemu naenda nakuta kabisa wanaongea kichaga.utafikiri tanzania ni ya wachaga.
Naona maombi ni siri binafsi ya mtu na siyo kutangaza hadharani.
Natoa angalizo kwa CDM. Kwanini mnaruhusu majukwaa yenu ya siasa kuongelea habari za maombi? Kama ni kufungua kwa dua sawa ila mtu kuitisha maombi? Anatoa picha gani kwa wanachama na ambao si wanachama?
Hebu geukeni kidogo - teueni na wale wa dini nyingine and stop keeping quiet when one of ur leaders talks abt religion, siasa siyo dini...na msigeuze dini kuwa mtaji wenu. La sivyo itakula kwenu...mnaelekea walipokuwa CUF. A good strategist hahitaji kutafuta wapi pa kuwapiga, hapo hapo kwenye udhaifu wenu.
Don't give me ur list of MPs sijui viongozi gani mnao wa dini gani, am not interested.
Sasa ndio nimeamini chadema nichama cha udini pamoja na viongozi wao wote ,hiki chama nihatari sana maslahi ya taifa letu
Uchamungu upo moyoni mwa mtu sio kutangaza kwa UMMA!