Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,751
- 19,987
.....Takwimu zinaonyesha katika kila wanafunzi 10 waliofail masomo wanafunzi 8 walisema wamefail kwa sababu mwalimu alikuwa anafundsha yale ayatakayo yeye. Na wanafunzi 2 hawakuwa na akili tu so mwalimu mzuri ni yule anaefundisha kwa kufata wanafunzi wanataka kufundishwa nini si yeye anataka nini
So kunauwezekano Mwalimu wa wanaufipa anafundisha yale anayotaka yeye ndio maana kila siku mnafail
.....Kigoma Dubai....kwikwikwi