Ni kweli lkn jela uende kwa kutafuta pesa hata familia yako itakuona shujaa sio uende jela kiboya km lema hata watoto wake watashindwa kuhadithia wakikua wataona aibu tu.Dogo lazima ujue kuwa hakuna anaye ijua kesho
Ni kweli lkn jela uende kwa kutafuta pesa hata familia yako itakuona shujaa sio uende jela kiboya km lema hata watoto wake watashindwa kuhadithia wakikua wataona aibu tu.Dogo lazima ujue kuwa hakuna anaye ijua kesho
Hongera sana kwa Maelezo thabiti Mkuu.Ni aibu kumfananisha Nelson Mandela na Lema , Nelson Mandela alikuwa anapigania usawa wa watu weusi dhidi ya watu weupe niambie Lema anapigania nini?
Tofautisha Mwanasiasa, Mwanaharakati, Mpigania haki na Nabii
Nelson Mandela alikuwa mpigania Haki hakuwa mwanasiasa wala mwanaharakati
Nelson Mandela amefanya siasa baada ya haki kupatikana na kwa vile hakuwa mwanasisa alitawala kipindi kimoja tu 10 May 1994 – 14 June 1999 japo angetaka angetawala hata zaidi ya miaka 10
Lema ni mwanasisa lakini anataka kufanya Harakati jambo ambalo aliwezekani watu wanaanzaga Harakati ndio wanakuja siasa sasa lema anataka kuanza siasa then harakati ni sawa na kinavyoanza kifo ndio kinakuja uzima wa milele sasa Lema anataka kuanza na uzima wa milele ndio afate kifo kitu ambacho hakiwezekani kwa dunia ya leo
Bt huwezi kumfananisha Nelson Mandela na kiongozi yeyote wa Africa hata Nyerere kwa
Nelson Mandela ni mwanafunzi tu
Una elewa nini kuhusu Neno Uhuru?.Hivi ina maana Tanzania bado hatujapata uhuru, kuwa na akili ndo ni shida.
Thanks for that.Lema na mandela...mnafananisha kwa lipi mkuu??
Lema kafungwa kwa utabili wake yaan kama nabiii
Mandela alifungwa kwa kupigania wananch wake wasibaguliwe na wawe huru
Nabii.vs.mwanaharakat mpambananaji
Wewe ni sawa na kaburu maana hata makaburu hawakujua nelson Mandela anapigania niniNi aibu kumfananisha Nelson Mandela na Lema , Nelson Mandela alikuwa anapigania usawa wa watu weusi dhidi ya watu weupe niambie Lema anapigania nini?
Tofautisha Mwanasiasa, Mwanaharakati, Mpigania haki na Nabii
Nelson Mandela alikuwa mpigania Haki hakuwa mwanasiasa wala mwanaharakati
Nelson Mandela amefanya siasa baada ya haki kupatikana na kwa vile hakuwa mwanasisa alitawala kipindi kimoja tu 10 May 1994 – 14 June 1999 japo angetaka angetawala hata zaidi ya miaka 10
Lema ni mwanasisa lakini anataka kufanya Harakati jambo ambalo aliwezekani watu wanaanzaga Harakati ndio wanakuja siasa sasa lema anataka kuanza siasa then harakati ni sawa na kinavyoanza kifo ndio kinakuja uzima wa milele sasa Lema anataka kuanza na uzima wa milele ndio afate kifo kitu ambacho hakiwezekani kwa dunia ya leo
Bt huwezi kumfananisha Nelson Mandela na kiongozi yeyote wa Africa hata Nyerere kwa
Nelson Mandela ni mwanafunzi tu
Naamini huko aliko gerezani atakuwa anasikia juu ya habari za ukame na njaa na atakuwa anaiombea hii hali isiwe mbaya kupitiliza, nasi tumuombee awe imara katika kipindi hiki kilichojaa mateso na majaribu makubwa sana!
Kamanda umechanganyikiwaMbona we mwenyewe uko na wife wako uraiani na watu wanapiga tu mama? Au tukitajie alama zake we mzee wa bao moja kwa wiki? Tena watu wanapiga mpaka tundu mashuhuri. Acha ugomvi wa mawe wakati unaishi ...
Aibu utaiona wewe unayekesha kuwasifia lumumba wakati kwako mnaishi kwa msaada wa mpembaNi kweli lkn jela uende kwa kutafuta pesa hata familia yako itakuona shujaa sio uende jela kiboya km lema hata watoto wake watashindwa kuhadithia wakikua wataona aibu tu.
Maisha hayana uhusiano na ccm wala chademaAibu utaiona wewe unayekesha kuwasifia lumumba wakati kwako mnaishi kwa msaada wa mpemba
Sasa nyie wenyeji wa siasa mnamsaidia vipi Kamanda Lema?Wewe ni mgeni wa siasa hivyo basi endelea kucheza kidedea hapo lumumba
Kwako, uctusemee bwana we vp....
....anaishi gerezani lakini yupo ndani ya mioyo ya Watanzania
Iyo haki ndio ya kumtabilia mtu kifo na kumtukana mkuu wa mkoa....?Lema anapigania haki za watanzania wote bila kujali rangi,kabila wala dini ya mtu