Msakila KABENDE
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 510
- 314
Hakuna anayekufa kama si mpango wa Mungu - endeleeni kujihami kwa nguvu zote - mkitilia shaka mtu au gari lolote pigeni picha na haraka wekeni mitandaoni (fumbo);
Usiende kigoma kwa kutumia gari ikitokea iwe Siri na mtu yeyote asifahamu route yako - badilisha magari kila wakati.
Usiende kigoma kwa kutumia gari ikitokea iwe Siri na mtu yeyote asifahamu route yako - badilisha magari kila wakati.