124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,802
- 5,494
Kwa hiyo unathibitisha kuwa serikali yetu ni ya kiovu inaondoa watu mara moja?au ulitaka kumaanisha nin na huo "ukubwa"wa serikali dhidi ya "udogo"wa Zitto R.K?Zitto nae ni mjinga sana NI WATU WENGI SANA WANA UADUI NA SERIKALI HII hili suala la kusema unafuatiliwa na watu wasiojulikana you put yourself into RISK inawezekana hao hao unaowaona ni WAZURI NA WATETEZI WAKO wanaweza chukua MAISHA YAKO FOR THEIR OWN BENEFIT(UTAKUWA MBUZI WA KAFARA SASA HIVI KWA FAIDA YA HAO WENZAKO WAPATE KISINGIZIO KINGINE KWA MABEBERU).......Serikali ikitaka kukuondoa wewe ni within SECOND wewe ni mtu mdogo sana linapokuja suala la SERIKALI NA MAMLAKA YA RAISI HIVYO ACHA KABSA KUICHAFUA SERIKALI haujawa tishio to that EXTENT MPAKA WAKUONDOE
USIMWAMINI SANA LEMA huu ni ushauri wa bure NAKUPA....
Sent using Jamii Forums mobile app