VPN USED2020OCTOBER28
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,505
- 676
kila mwenye akili timamu anafahamu, Lema toka Achaguliwe mwaka 2010 hajawahi kufanya kitu chochote cha maaana Hapa Arusha.
kila mwenye akili timamu anafahamu, Lema toka Achaguliwe mwaka 2010 hajawahi kufanya kitu chochote cha maaana Hapa Arusha.
Unajua Namwona mwanasiasa huyu ni Chachu ya mabadiliko.
Kwa Arusha umeshafanikiwa kuinyoa CCM kwa zaidi ya 70%. Kwasababu nakubali sana Hotuba zako kwenye mikutano na mbinu za kueneza Chama kama cd na hotuba Zilizojaa hamasa ambazo zinauwezo wa kumbadili mnyonge kuwa mtu Jasili Sana na Anayejiamini nakushauri Sasa harakati Hizo Ziamishie Jiji la Dar es Salamu kwa siku kama 100 mfululizo. Muhakikishe chadema inaota mizizi huko. Ungana na wanasiasa vijana wanaopendwa Kama Mr II, Halima, Joseph Haure, Na wengine Wakongwe Kama Profesa safari na matangazo yenu yadokeze mada zitakazozungumziwa
Zingatia vitu viwili.
1. Lazma kuwe na elimu ya uraia ambayo raia wengi hawana wananchi wajue nchi ni yao na viongozi wako pale kutekeleza wananchi wanachotaka.
2. Vipato vya taifa, wizi ndani ya taifa, uwekezaji asa kwenye madini usio na tija, Manunuzi na bei za vitu kwa serikali. Mikataba kama ya tanesco inavyowatesa wananchi.
Naamini kitu kimoja Dar Ikibadilika niRAHISI TANZANIA YOTE KUIGA NA KUBADILIKA HATA KWA MKUMBO. Dar hupokea na kutoa zaidi ya watu laki 3 kwa siku
*please kama inawezekana uzi huu urudishwe kwenye jukwaa la siasa upate wachangiaji wanasiasa*
Ujinga wake huku Arusha watu wameshauchoka!
mbona mlishindwa uchaguzi kata zote.Watu wa ariusha ni tofauti na wengine wanapenda siasa za namna ambazo lema anaziendasha na hawapendi uungo eti mbunge atajenga barabara ili hali wanajua kabisa kuwa mbunge hana hela wala hakusanyi kodi ila yeye jukumu lake ni kufikisha na kuwakilisha wananchi.Ujinga wake huku Arusha watu wameshauchoka!
mbona mlishindwa uchaguzi kata zote.Watu wa ariusha ni tofauti na wengine wanapenda siasa za namna ambazo lema anaziendasha na hawapendi uungo eti mbunge atajenga barabara ili hali wanajua kabisa kuwa mbunge hana hela wala hakusanyi kodi ila yeye jukumu lake ni kufikisha na kuwakilisha wananchi.
mkuu barabara zinazojengwa Arusha ,DODOMA,na mbeya ziko chini ya MPAngo wa strategic city development Program na kama sikosei zinafadhiliwa na Benki ya dunia.Kimsingi naomba uelewe njoo hapa Arusha hadi mzee anaipenda chadema na Lema hii inatokana na Lema kuwa Mkweli na Kuzungumza ukweli ambao wananchi wa Arusha ndio wanaoamini na kusimamia.Kama huamini soma hii makala kutoka katika DAILY News.allAfrica.com: Tanzania: Godbless Lema - the Return of Hope and AnarchyMbona LEMA anajinadi kwenye majukwaa ya kisiasa kuwa yeye, ndiye aliyejenga barabara Arusha?
Dar es Salaam sijui wamelaaniwa? Wako busy na vitu vingine. Alafu ndo jiji linaloongoza kwa uchafu, foleni, mgawo wa umeme, shida ya maji, Elimu duni (kasoro shule za private) na mengineyo. Lakini watu kama wamefumbwa macho
Tatizo watu wa Dar wengi wanajifanya busy halafu vilevile hawapendi vurugu
Ujinga wake huku Arusha watu wameshauchoka!
kashinda kesiLema kafanya nini Arusha? Mbona sioni