Masaningala
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 543
- 199
Nani anastahili pongezi za mafanikio ya CHADEMA mkoani Arusha? Samson Mwigamba ambaye alikuwa mwenyekiti wa CHMA wa mkoa aliyetengeneza mikakati ya ushindi wa CHAMA? Mwigamba ndiye aliyemuibua Godbless Lema na kumfanya mgombea kwa ticket ya Chama, na kumsadia kimkakati nyuma ya pazia. Mwigamba amekuwa na Chama muda mrefu zaidi na anawafahamu wanachama wengi zaidi na wanachama wanamfahamu Mwigamba vizuri kuliko Lema?? Nadhani Mwigamba anastahili pongezi kwa kuifikisha CHADEMA hapa ilipo.
Shetani alikuwa malaika kiongozi wa malaika wote. Aliaminiwa na Mungu, lakini akaota kiburi na kutaka kumpindua Mungu. Matokeo yake pamoja na sifa njema zote alitupwa nje ya mfumo wa kiungu na amebaki akirandaranda kuwapotosha wanadamu wamuasi Mungu. Mwigamba ni mfano huu!!!!!!!!!!!!