William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,792
- 2,421
Unajua Namwona mwanasiasa huyu ni Chachu ya mabadiliko.
Kwa Arusha umeshafanikiwa kuinyoa CCM kwa zaidi ya 70%. Kwasababu nakubali sana Hotuba zako kwenye mikutano na mbinu za kueneza Chama kama cd na hotuba Zilizojaa hamasa ambazo zinauwezo wa kumbadili mnyonge kuwa mtu Jasili Sana na Anayejiamini nakushauri Sasa harakati Hizo Ziamishie Jiji la Dar es Salamu kwa siku kama 100 mfululizo. Muhakikishe chadema inaota mizizi huko. Ungana na wanasiasa vijana wanaopendwa Kama Mr II, Halima, Joseph Haure, Na wengine Wakongwe Kama Profesa safari na matangazo yenu yadokeze mada zitakazozungumziwa
Zingatia vitu viwili.
1. Lazma kuwe na elimu ya uraia ambayo raia wengi hawana wananchi wajue nchi ni yao na viongozi wako pale kutekeleza wananchi wanachotaka.
2. Vipato vya taifa, wizi ndani ya taifa, uwekezaji asa kwenye madini usio na tija, Manunuzi na bei za vitu kwa serikali. Mikataba kama ya tanesco inavyowatesa wananchi.
Naamini kitu kimoja Dar Ikibadilika niRAHISI TANZANIA YOTE KUIGA NA KUBADILIKA HATA KWA MKUMBO. Dar hupokea na kutoa zaidi ya watu laki 3 kwa siku
*please kama inawezekana uzi huu urudishwe kwenye jukwaa la siasa upate wachangiaji wanasiasa*
Kwa Arusha umeshafanikiwa kuinyoa CCM kwa zaidi ya 70%. Kwasababu nakubali sana Hotuba zako kwenye mikutano na mbinu za kueneza Chama kama cd na hotuba Zilizojaa hamasa ambazo zinauwezo wa kumbadili mnyonge kuwa mtu Jasili Sana na Anayejiamini nakushauri Sasa harakati Hizo Ziamishie Jiji la Dar es Salamu kwa siku kama 100 mfululizo. Muhakikishe chadema inaota mizizi huko. Ungana na wanasiasa vijana wanaopendwa Kama Mr II, Halima, Joseph Haure, Na wengine Wakongwe Kama Profesa safari na matangazo yenu yadokeze mada zitakazozungumziwa
Zingatia vitu viwili.
1. Lazma kuwe na elimu ya uraia ambayo raia wengi hawana wananchi wajue nchi ni yao na viongozi wako pale kutekeleza wananchi wanachotaka.
2. Vipato vya taifa, wizi ndani ya taifa, uwekezaji asa kwenye madini usio na tija, Manunuzi na bei za vitu kwa serikali. Mikataba kama ya tanesco inavyowatesa wananchi.
Naamini kitu kimoja Dar Ikibadilika niRAHISI TANZANIA YOTE KUIGA NA KUBADILIKA HATA KWA MKUMBO. Dar hupokea na kutoa zaidi ya watu laki 3 kwa siku
*please kama inawezekana uzi huu urudishwe kwenye jukwaa la siasa upate wachangiaji wanasiasa*