Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakubwa,
Baada ya kusoma habari hii nimejaribu kumpigia mtu fulani maarufu kwa masuala ya siasa na sheria, anasema hali ni ngumu kidogo kwa Lema...
Yeye anadai kuwa kwanza Lema alidanganya kuhusiana na Elimu yake, na mahakamani hilo lilidhihirika wazi!...Na alipobanwa juu ya hilo akasema kuwa alishaandika barua kwa katibu wa Bunge ili warekebishe kipengele hicho cha elimu kwenye taarifa zake za kibunge, ziendane na ukweli,..hivyo hapo pana substance kubwa ya kumuumiza!
- Katika Ushahidi uliotolewa mahakamani hakuna kielelezo kilichowasilishwa kwa hakimu kukazia ushahidi. Hakukuwa na ushahidi wa sauti wala wa maandishi zaidi ya bla bla nyingi.
- Sina kumbukumbu sahihi kama mbwembwe za uchaguzi zilishawahi kutengua matokeo ya uchaguzi.
- Batilda Buriani hajawahi kuhudhuria mahakamani kukazia ushahidi wa wapiga kura walioathirika kisaikolojia mpaka wakampigia Lema kura badala ya Batilda.
Wakimwengua itakuwa vizuri saaaana. Ili kampeni zianze tena, halafu CCM ishindwe kwa kishindo na kuzidi kuwashushia hadhi.
Huyo mama x mbunge enzi hizo hataki hata kuja kutoa ushahidi anasema yeye ni barozi hivyo hayo mambo ya ubunge wa Arusha hayamhusu!!!!! Hivyo hicho ni kiherehere cha wapambe wa CCM waliopewa fedha kwenda mahakamani kuleta mashitaka fake dhidi ya Mheshimiwa Lema!!!!Inadaiwa kuwa Lema alitumia lugha ya matusi na ya kudhalilisha wakati wa kampeni, na ushahidi umeonyesha hivyo...dai kuu ni hilo
Hizo ni ndoto zako kwani EL ni nani hasa mbona Arumeru hakufua dafu bado tuu una imani na umaarufu wa mwizi???? Tungoje hukumu itolewe lakini hakuna ground zozote za Lema kushindwa kesi, kwani hakuiba kura wala hakuna aina yoyote vurugu na incidence za kutengua ubunge wake!!!!!!!!!! Pole saana Lema atendelea kuwa Mbunge wa Arusha, ndoto zako hazina ukweli!!!!Baba,
Hukumu ya Lema imepata shinikizo kubwa sana kutoka kwa watu mbalimbali!
Kuna shinikizo toka kwa EL, serikali(kumbuka skendo bungeni ya Pinda na uwongo) na Bunge lenyewe, kuanzia spika na watu wa ccm.
Nina wasiwasi kuna mtu amehack ID ya Paka Jimmy leo.......sidhani kama Paka Jimmy is too low like today he shows!!.....Hizo ni ndoto zako kwani EL ni nani hasa mbona Arumeru hakufua dafu bado tuu una imani na umaarufu wa mwizi???? Tungoje hukumu itolewe lakini hakuna ground zozote za Lema kushindwa kesi, kwani hakuiba kura wala hakuna aina yoyote vurugu na incidence za kutengua ubunge wake!!!!!!!!!! Pole saana Lema atendelea kuwa Mbunge wa Arusha, ndoto zako hazina ukweli!!!!
Mkuu, jana nilipita mahala nikakuta watu wanakunywa Konyagi, mimi nilikuwa nakunywa soda ya passion, nikaathiriwa na harufu ya ile konyagi, nadhani imenipa maluweluwe hadi leo kudadadeki!Nina wasiwasi kuna mtu amehack ID ya Paka Jimmy leo.......sidhani kama Paka Jimmy is too lowa like today he shows!!.....
Mkuu si afadhali ya Mheshimiwa Lema je umeona CV ya Mheshimiwa Joseph Lusinde wa CCM??????Ni aibu na fedheha kwa watu wa Arusha kuongozwa na Mbunge ambaye ni MWONGO.
Mji umedorora kwa sababu tumemchagua mbunge mbumbumbu, asiye mwadilifu (ex-fugitive) na hana elimu hata ya kidato cha nne.
Kuvuliwa kwake ubunge na ikitokea akakatazwa kugombea tena ni jambo la faraja kwetu wana Arusha.
Tunaisubiri kwa hamu kesho 4/4/2012 tumwone kilaza akipigwa chini.
EDUCATIONS | ||||
School Name/Location | Course/Degree/Award | Start Date | End Date | Level |
Mbigili Primary School | Primary Education | 1980 | 1987 | PRIMARY |
CCM College Ihemi | Certificate | 2007 | 2008 | CERTIFICATE |
EMPLOYMENT HISTORY | |||
Company Name | Position | From Date | To Date |
The Parliament of Tanzania | Member - Mtera Constituency | 2010 | 2015 |
POLITICAL EXPERIENCE | |||
Ministry/Political Party/Location | Position | From | To |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Secretary - Tarime District | 2006 | 2010 |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Assistant Secretary/Accountant | 2006 | 2007 |
CHADEMA | Member - National Executive Board | 1995 | |
Civic United Front, CUF | Secretary - Kawe Constituency | 1992 | 1995 |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Secretary |
Mwambie asome hii attachment kama hajui majukumu ya usalama wa Taifa ni nini!!huyo Mbwiga ni Mzushi.. mimi sidhani kama kuna Muda wa Kudiscus Uzushi.. Usalama wa taifa Hakuna Hicho Unachokiongelea wewe .. Mkuu wa usalama unamjua wewe.. miwatu mingine kuzua na Kutunga..
Baba,
Hukumu ya Lema imepata shinikizo kubwa sana kutoka kwa watu mbalimbali!
Kuna shinikizo toka kwa EL, serikali(kumbuka skendo bungeni ya Pinda na uwongo) na Bunge lenyewe, kuanzia spika na watu wa ccm.
Acha utopian thinking.
tarehe 5 ni kesho kutwa na utaenda kuwalaumu hao wanasheria waliobebea kwa nini wanakudanganya hivi.
Baada ya kutoka mahakamani tutasherekea pale NMC kama kawaida CDM faraja tu.