Mbwiga_Plus
Senior Member
- Jan 5, 2011
- 163
- 42
Nimeongea na watu mbalimbali, wakiwemo wanasheria waliobobea, wamehakikisha kuwa ifikapo tarehe 05.04.2012 Ubunge wa Godbless Lema utatenguliwa rasmi, kutokana na mapungufu ya kisheria yanayoukabili upande wa utetezi.
Kutokana na hilo, hali ya usalama ya Arusha huenda ikaingia katika changamoto mpya na majaribu, kutokana na upenzi wa wanacdm juu ya Mbunge wao anayeelekea kung'olewa.
Kufuatia tukio hilohilo, mkuu wa usalama wa Taifa ametua rasmi jana mkoani Arusha, ili kupanga mikakati na kushauriana na maafisa wengine, waangalie jinsi ya kukabiliana na hali hiyo.
Wanajamvi,
-Nini itakuwa hatima ya Lema?..Je kisheria ataruhusiwa kugombea tena?
-Unaisemeaje nafasi ya Lema, ana uwezekano wa kushinda iwapo atarejeshwa kugombea?
Nawasilisha.
Kutokana na hilo, hali ya usalama ya Arusha huenda ikaingia katika changamoto mpya na majaribu, kutokana na upenzi wa wanacdm juu ya Mbunge wao anayeelekea kung'olewa.
Kufuatia tukio hilohilo, mkuu wa usalama wa Taifa ametua rasmi jana mkoani Arusha, ili kupanga mikakati na kushauriana na maafisa wengine, waangalie jinsi ya kukabiliana na hali hiyo.
Wanajamvi,
-Nini itakuwa hatima ya Lema?..Je kisheria ataruhusiwa kugombea tena?
-Unaisemeaje nafasi ya Lema, ana uwezekano wa kushinda iwapo atarejeshwa kugombea?
Nawasilisha.