Godbless Lema: Arusha inaharibiwa na uselamavi

Kwa hiyo Mh Lema yupo sahihi ,?Arusha napitapita TU lakini maisha Yao kiundani siyajui
 
Moja ya mikoa nayo iyonaga jau ni huu Arusha, Zaidi ya mara NNE nikienda nakutana na usela mavi
 
Umeandika kistaarabu lakini umeandika ujinga.
 
Eneo lolote likiwa hub ya ujambazi hutengeneza jamii ya watu wababe na wakorofi.
Arusha ilikuwa kitovu cha uhalifu wa kutumia silaha itachukua muda mrefu sana kuondoa hiyo culture.

 
Huyo ndiye mbunge , hapo ni kwao so anaumia sana , yule mwingine aligombea kigamboni akakosa , mara kageuka kuwa mkazi wa Arusha akagombea huko ...Yuko bussy na matamasha ila wananchi hana muda nao.
 
Watu wa Arusha mumepindukia kwa ujuaji yani hamna msichokijua kumbe ni washamba tu from my own experience
Nilifika huko , nikaona mashati ya draft yale na nguo za mtumba kama uniform zao , kuna yale mashati kama ya CHADEMA , yana kaki fulani hivi ya bahasha 😀 😀 kila kona ni hayo tena mtumba .
 
Nimeishi Arusha, ule usela mavi wao ni ushamba! Vijana wanavuta sana bange na ya kule Olkokola, ngaramtoni ya juu ni balaa mtu wa kawaida ukivuta ile inakutia uchizi. Kingine Arusha inapotezwa na machimbo ya Mererani, vijana hawataki kazi wanawaza kwenda machimboni. Ule mji ni shida, ukichanganya na uzao wa wasomali uliopo pale, ubabe ubabe utasema upo Mogadishu.
 
Sio mabinti tu, hata wanaume asilimia kubwa ni changamoto....uizi wameupa kipaumbele sana si maofisini Wala mitaani, hata madereva wa magari ni hivyo hivyo uizi, uongo uongo, kujifanya wao wanajua matusi na mambo mengine mabaya kuzidi watu wengine, uhuni ni kwa wote wakiume kwa wakike...sijui tamaduni zao ilikuwa ni uhuni na uizi, ukisikia napambana sana ujue ni kuiba sana🙆😎...tusameheane rafiki zangu wa Kanda hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…