mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,852
- 106,062
Usitukane mamba kabla hujavuka mto?Chadema wanamuona kila mtu mbaya kumbe hawajui Kama wachawi ni wao wenyewe
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Usitukane mamba kabla hujavuka mto?Chadema wanamuona kila mtu mbaya kumbe hawajui Kama wachawi ni wao wenyewe
Zamani elimu ya ngumbaru ilikuwa ni kwa ajili ya wazee, ila sasa vijana ndiyo wajinga kupita kiasi kama huyu anayejiita MsemajiUkweli.Chombo cha habari akianzishe Millard Ayo, mafanikio yapatikane halafu wajinga fulani waanze kumpangia jinsi ya kufanya kazi zake!
Wakati anaanzisha chombo hakuenda kumuomba Lema ushauri halafu baada ya kufanikiwa eti ndio wajinga fulani wanaanza kutoa ushauri!
Kama Lema anadhani Millard Ayo hatangazi yale ambayo yeye anadhani yanafaa yatangazwe basi Lema aanzishe chombo chake cha habari! It's just simple!
Kulazimisha mambo fulani yafanywe kwa matakwa yako ni udikteta kama udikteta mwingine!
Kudhani unanijua wakati hunijui ni ujinga! Kumbuka ujinga sio tusi!Zamani elimu ya ngumbaru ilikuwa ni kwa ajili ya wazee, ila sasa vijana ndiyo wajinga kupita kiasi kama huyu anayejiita MsemajiUkweli.
Ubongo wako hauna kisoda
Halafu wanakiita "wanademokrasia" huku wakilazimisha media ziandike wanayoyataka waoChombo cha habari akianzishe Millard Ayo, mafanikio yapatikane halafu wajinga fulani waanze kumpangia jinsi ya kufanya kazi zake!
Wakati anaanzisha chombo hakuenda kumuomba Lema ushauri halafu baada ya kufanikiwa eti ndio wajinga fulani wanaanza kutoa ushauri!
Kama Lema anadhani Millard Ayo hatangazi yale ambayo yeye anadhani yanafaa yatangazwe basi Lema aanzishe chombo chake cha habari! It's just simple!
Kulazimisha mambo fulani yafanywe kwa matakwa yako ni udikteta kama udikteta mwingine!
Mpo wangapi?Millard hakufanikiwa kwa msaada wa wahuniWala hata watazamaji hatuangaiki na mafanikio ya muanzilishi wa online tv ila kinachosikitisha ni kuwa double standard- kitu ambacho kikikomaa ni rahisi sana kushuka chini kwa hicho chombo Cha habari. Unajuaje huo umaarufu wa Ayo tv labda umetokana na namna mwanzo habari zake alikuwa hana upendeleo wa habari lakini kwa sasa ameanza kupendelea baadhi ya habari na nyingine kuona hazina umuhim either kwa kuogopa mamlaka au vinginevyo! Ni kazi sana kutengeneza brand ya kitu lakini ni rahisi sana kukishusha na kikadharauliwa hasa ukijisahau kidogo tu na kujiona umeshafika kileleni
We wadhani Millard hajipendi? Ikiwa mti mbichi kama Tundu Lissu umetendewa vile na hakuna kilichotokea itakuaje kwa mti mkavu Millard? Acha dogo afanye yaliyo salama kwakeWala hata watazamaji hatuangaiki na mafanikio ya muanzilishi wa online tv ila kinachosikitisha ni kuwa double standard- kitu ambacho kikikomaa ni rahisi sana kushuka chini kwa hicho chombo Cha habari. Unajuaje huo umaarufu wa Ayo tv labda umetokana na namna mwanzo habari zake alikuwa hana upendeleo wa habari lakini kwa sasa ameanza kupendelea baadhi ya habari na nyingine kuona hazina umuhim either kwa kuogopa mamlaka au vinginevyo! Ni kazi sana kutengeneza brand ya kitu lakini ni rahisi sana kukishusha na kikadharauliwa hasa ukijisahau kidogo tu na kujiona umeshafika kileleni
Hivi nyinyi si mlishagomea nyimbo za Diamond na line za voda? mmefanikiwa?Unafikiri hayo mafanikio aliyapataje kama si kuripoti habari za upinzani na WCB?
Kwa hiyo Magufuli kulazimisha kuzuia mikutano ya siasa ili afanye yeye na CCM yake ni udikteta?
Nadhani Lema angeanza kwanza kumshauri mwenyekiti wake mbowe kuachia ngazi, ili kukinusuru chama! Badara ya kuingilia kazi na fani zawatu.
G.lema ujue Yajayo Yanafurahisha ndani ya chadema! Nakushauli ukae kimya na uheshimu kazi zawatu.
The Last Kicks of a Dying Horse.
Katukanwa sana na raia huyo Lema
Chombo cha habari akianzishe Millard Ayo, mafanikio yapatikane halafu wajinga fulani waanze kumpangia jinsi ya kufanya kazi zake!
Wakati anaanzisha chombo hakuenda kumuomba Lema ushauri halafu baada ya kufanikiwa eti ndio wajinga fulani wanaanza kutoa ushauri!
Kijana Millard Ayo hata baada ya kufeli kidato cha nne lakini hakukata tamaa aliamua kujiunga chuo kwa kozi ya mwaka mmoja ya Uandishi wa Habari, Arusha. Huo ukawa mwanzo wa mafanikio yake ambayo leo wajinga fulani wanataka kumpangia nini cha kufanya.
Kama Lema anadhani Millard Ayo hatangazi yale ambayo yeye anadhani yanafaa yatangazwe basi Lema aanzishe chombo chake cha habari! It's just simple!
Kulazimisha mambo fulani yafanywe kwa matakwa yako ni udikteta kama udikteta mwingine!