Godbless Lema amuonya Millard Ayo kwa kuonesha unyama wa Polisi wa Kenya na kuficha unyama wa Polisi wa Tanzania

Chombo cha habari akianzishe Millard Ayo, mafanikio yapatikane halafu wajinga fulani waanze kumpangia jinsi ya kufanya kazi zake!

Wakati anaanzisha chombo hakuenda kumuomba Lema ushauri halafu baada ya kufanikiwa eti ndio wajinga fulani wanaanza kutoa ushauri!

Kama Lema anadhani Millard Ayo hatangazi yale ambayo yeye anadhani yanafaa yatangazwe basi Lema aanzishe chombo chake cha habari! It's just simple!

Kulazimisha mambo fulani yafanywe kwa matakwa yako ni udikteta kama udikteta mwingine!
Zamani elimu ya ngumbaru ilikuwa ni kwa ajili ya wazee, ila sasa vijana ndiyo wajinga kupita kiasi kama huyu anayejiita MsemajiUkweli.
Ubongo wako haujai kisoda
 
Zamani elimu ya ngumbaru ilikuwa ni kwa ajili ya wazee, ila sasa vijana ndiyo wajinga kupita kiasi kama huyu anayejiita MsemajiUkweli.
Ubongo wako hauna kisoda
Kudhani unanijua wakati hunijui ni ujinga! Kumbuka ujinga sio tusi!

Kusema ubongo wangu hauna kisoda ni kuonyesha upumbavu wako uko kiasi gani kwa sababu kama unajua ubongo wangu hauna kisoda, kwa nini unapoteza muda wako kuhangaika na mtu ambaye ubongo wake hauna kisoda!

Kumbuka upumbavu ni sifa kama vile mtu mrefu au mfupi!
 
Chombo cha habari akianzishe Millard Ayo, mafanikio yapatikane halafu wajinga fulani waanze kumpangia jinsi ya kufanya kazi zake!

Wakati anaanzisha chombo hakuenda kumuomba Lema ushauri halafu baada ya kufanikiwa eti ndio wajinga fulani wanaanza kutoa ushauri!

Kama Lema anadhani Millard Ayo hatangazi yale ambayo yeye anadhani yanafaa yatangazwe basi Lema aanzishe chombo chake cha habari! It's just simple!

Kulazimisha mambo fulani yafanywe kwa matakwa yako ni udikteta kama udikteta mwingine!
Halafu wanakiita "wanademokrasia" huku wakilazimisha media ziandike wanayoyataka wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala hata watazamaji hatuangaiki na mafanikio ya muanzilishi wa online tv ila kinachosikitisha ni kuwa double standard- kitu ambacho kikikomaa ni rahisi sana kushuka chini kwa hicho chombo Cha habari. Unajuaje huo umaarufu wa Ayo tv labda umetokana na namna mwanzo habari zake alikuwa hana upendeleo wa habari lakini kwa sasa ameanza kupendelea baadhi ya habari na nyingine kuona hazina umuhim either kwa kuogopa mamlaka au vinginevyo! Ni kazi sana kutengeneza brand ya kitu lakini ni rahisi sana kukishusha na kikadharauliwa hasa ukijisahau kidogo tu na kujiona umeshafika kileleni
Mpo wangapi?Millard hakufanikiwa kwa msaada wa wahuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lema bana si akafungue chombo chake kwani Milard chombo cha Taifa mpaka mumpangie.
 
Wala hata watazamaji hatuangaiki na mafanikio ya muanzilishi wa online tv ila kinachosikitisha ni kuwa double standard- kitu ambacho kikikomaa ni rahisi sana kushuka chini kwa hicho chombo Cha habari. Unajuaje huo umaarufu wa Ayo tv labda umetokana na namna mwanzo habari zake alikuwa hana upendeleo wa habari lakini kwa sasa ameanza kupendelea baadhi ya habari na nyingine kuona hazina umuhim either kwa kuogopa mamlaka au vinginevyo! Ni kazi sana kutengeneza brand ya kitu lakini ni rahisi sana kukishusha na kikadharauliwa hasa ukijisahau kidogo tu na kujiona umeshafika kileleni
We wadhani Millard hajipendi? Ikiwa mti mbichi kama Tundu Lissu umetendewa vile na hakuna kilichotokea itakuaje kwa mti mkavu Millard? Acha dogo afanye yaliyo salama kwake
 
Lema ni mtu mbaya sana. kwanini anataka kumuharibia biashara yake kijana wa watu?? Huu ni ulozi.
 
Chombo cha habari akianzishe Millard Ayo, mafanikio yapatikane halafu wajinga fulani waanze kumpangia jinsi ya kufanya kazi zake!

Wakati anaanzisha chombo hakuenda kumuomba Lema ushauri halafu baada ya kufanikiwa eti ndio wajinga fulani wanaanza kutoa ushauri!

Kijana Millard Ayo hata baada ya kufeli kidato cha nne lakini hakukata tamaa aliamua kujiunga chuo kwa kozi ya mwaka mmoja ya Uandishi wa Habari, Arusha. Huo ukawa mwanzo wa mafanikio yake ambayo leo wajinga fulani wanataka kumpangia nini cha kufanya.

Kama Lema anadhani Millard Ayo hatangazi yale ambayo yeye anadhani yanafaa yatangazwe basi Lema aanzishe chombo chake cha habari! It's just simple!

Kulazimisha mambo fulani yafanywe kwa matakwa yako ni udikteta kama udikteta mwingine!

Millard Ayo vs Taaluma ya uandishi.

Millard Ayo atabaki Mirad hayo na taalum ya uandishi na misingi yake itabaki kuwa taaluma..
 
Back
Top Bottom