Godbless Lema amuonya Millard Ayo kwa kuonesha unyama wa Polisi wa Kenya na kuficha unyama wa Polisi wa Tanzania

Hawa wa huku kwetu wana fujo sana sasa dawa yao ni kususia kutangaza habari zao....huyo ayo atangaze tu ya Kenya mpaka wale wa hapa Bongo waone wivu.
 
Chama kina gazeti - Tanzania Daima, kina online TV, na Kubenea na Komu wana gazeti pia, nina uhakika hivyo vyombo vya habari vingetosha kututangazia yale ambayo wengine hawayatangazi.

Recently kila chombo cha habari kimeshikwa pabaya na serikali, hivyo MillardAyo kama mwanahabari na mtu ambaye maisha yake anayaendesha kutokana na utoaji wake wa habari, lazima achuje taarifa ili kutoripot mambo yatakayomtia matatizoni dhidi ya Serikali.
 
Chama kina gazeti - Tanzania Daima, kina online TV, na Kubenea na Komu wana gazeti pia, nina uhakika hivyo vyombo vya habari vingetosha kututangazia yale ambayo wengine hawayatangazi.

Recently kila chombo cha habari kimeshikwa pabaya na serikali, hivyo MillardAyo kama mwanahabari na mtu ambaye maisha yake anayaendesha kutokana na utoaji wake wa habari, lazima achuje taarifa ili kutoripot mambo yatakayomtia matatizoni dhidi ya Serikali.

Tz daima si imeondoka na Komu? Au?
 
Kudhani unanijua wakati hunijui ni ujinga! Kumbuka ujinga sio tusi!

Kusema ubongo wangu hauna kisoda ni kuonyesha upumbavu wako uko kiasi gani kwa sababu kama unajua ubongo wangu hauna kisoda, kwa nini unapoteza muda wako kuhangaika na mtu ambaye ubongo wake hauna kisoda!

Kumbuka upumbavu ni sifa kama vile mtu mrefu au mfupi!
Haujai kisoda
 
Anzisha chakwako uonyeshe unachotaka tuone ... sio kila mtu Ng’ombe wa kufata mnachotaka nyinyi upinzani uchwara
 
Naona unamwaga povu mpaka linatokea puani!
Chombo cha habari akianzishe Millard Ayo, mafanikio yapatikane halafu wajinga fulani waanze kumpangia jinsi ya kufanya kazi zake!

Wakati anaanzisha chombo hakuenda kumuomba Lema ushauri halafu baada ya kufanikiwa eti ndio wajinga fulani wanaanza kutoa ushauri!

Kijana Millard Ayo hata baada ya kufeli kidato cha nne lakini hakukata tamaa aliamua kujiunga chuo kwa kozi ya mwaka mmoja ya Uandishi wa Habari, Arusha. Huo ukawa mwanzo wa mafanikio yake ambayo leo wajinga fulani wanataka kumpangia nini cha kufanya.

Kama Lema anadhani Millard Ayo hatangazi yale ambayo yeye anadhani yanafaa yatangazwe basi Lema aanzishe chombo chake cha habari! It's just simple!

Kulazimisha mambo fulani yafanywe kwa matakwa yako ni udikteta kama udikteta mwingine!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna muda naonaga hawa wapinzani nao hawana akili kabisa..

Huyu Lema badala apigie kelele uhuru wa habari in General kwani hakuna chombo chochote cha habari kinachoweza kutoa habari ambazo hazitoipendeza serikali,yeye anamu-attack Millard pekee..huu ni uzwazwa

Kwenye kila taaluma kuna Ethics zake lakini kuna muda Ethical dillema zinatokea..ndo kama hivi..Je Millard aposti hizo habari then afungiwe au aachane nazo atoe taarifa nyingine?
 
Waliokupa hizo likes nao ni wajinga wenzio . Kwa kuwaona wengine wajinga, ukadhani wewe ni mwerevu. Kama ambavyo hutaki Lema ampangie Millard cha kufanya nawe usimpangie Lema cha kukoment.

Nchi hii tumekuwa na unafki uliopitiliza . Unapotangaza ubaya wa jirani . Wakati hapa nyumbani huwezi hata kusimulia yanayofanyika kwa WaTz wenzio ni zaidi ya UNAFKI

Odhis *
Msahuri Lema amwambie Mbowe atunze hela za ruzuku ya miezi 5 tu uone kama hamjaanzisha kituo kama cha Ayo ili miwe mnatqngaza mnachotaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom