Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,147
- 43,081
Kapongezwa na Lemma sio LEMA kwa mujibu wa mleta uziLema ana marafiki wengi tu ndani ya ccm. Lkn pia siyo ajabu Kitila Mkumbo kupongezwa na Lema kwakuwa awali Mkumbo alikuwa chadema
Kapongezwa na Lemma sio LEMA kwa mujibu wa mleta uziLema ana marafiki wengi tu ndani ya ccm. Lkn pia siyo ajabu Kitila Mkumbo kupongezwa na Lema kwakuwa awali Mkumbo alikuwa chadema
Kweli kabisaNakubaliana sana na Yericko Nyerere ,angepongeza yeye yaani angekogeshwa matusi.
Lakini Lema aliwachomea Kitila,Zitto na yule jamaa wa Arusha kuhusu waraka wao hadi wakafukuzwa chama na MboweLema ana marafiki wengi tu ndani ya ccm. Lkn pia siyo ajabu Kitila Mkumbo kupongezwa na Lema kwakuwa awali Mkumbo alikuwa chadema
Mkuu politics has neither permanent foes nor permanent friends except permanent interests!!!Siasa ni mchezo ambao hutakiwi kuwa na hasira. Haya sasa, Lemma kampongeza Kitila Mkumbo na kumtakia kila la heri.
View attachment 3432224
🙋✍️🎯👍🤝🙏🛡️Tatizo kubwa wengi tunaona kama kuwa upinzani ni uadui au kuwa na rafiki na mtu wa chama tawala ni msaliti. Sisi sote ni ndugu ila kila mmoja wetu ana mawazo tofauti na mwenzio na pia ana mapenzi ya itikadi ya chama flani. Haya yote yasifanye undugu wetu wa miaka na miaka kugawanyika kisa kutofautiana mawazo. Tukianza kubaguana taratibu tutaanzakubaki wa chama flani baadaye itakuja wa mkoa fkani mwisho utasikia wa dini flani ambapo ni jambo baya sana. Sioni tatizo kuwa na rafiki chama tawala au chama pinzani
NgosweMambo yao waachie wenyewe...
Cc @
Kuwa mpinzani sio uadui. Watu wapingane kwa hoj. Hapo ndipo Tanzania tuna feli. Chuki zote tunazoziona kati ya chama tawala na upinzani ni hiyo hali ya kukosa tafsiri halisi ya UPINZANI. Huku watu walio wengi wakiamini kuwa upinzani ni uadui . Na kutoka hilo eneo la uelewa itatuchukua miaka mingi sana labda karne hii iishe . Mungu tusaidieTatizo kubwa wengi tunaona kama kuwa upinzani ni uadui au kuwa na rafiki na mtu wa chama tawala ni msaliti. Sisi sote ni ndugu ila kila mmoja wetu ana mawazo tofauti na mwenzio na pia ana mapenzi ya itikadi ya chama flani. Haya yote yasifanye undugu wetu wa miaka na miaka kugawanyika kisa kutofautiana mawazo. Tukianza kubaguana taratibu tutaanzakubaki wa chama flani baadaye itakuja wa mkoa fkani mwisho utasikia wa dini flani ambapo ni jambo baya sana. Sioni tatizo kuwa na rafiki chama tawala au chama pinzani
Angepongeza Mbowe mngelisema kanunuliwa. Nyie Chadema hamnaga akili timamu!Lema ana marafiki wengi tu ndani ya ccm. Lkn pia siyo ajabu Kitila Mkumbo kupongezwa na Lema kwakuwa awali Mkumbo alikuwa chadema