Godbless Lema akiuka maagizo ya Rais wake

Upuuzi mtupu na kwa taarifa yako alitoa maagizo kwa Wenje wakati akiwa Mwanza.

Ndugu utakuwa hukuwepo kwenye kikao cha Tindigani Arusha waliokuwepo wanaweza kuthibitisha,huenda na Mwanza alimuagiza Wenje mi sifahamu hilo,ila Arusha alimuagiza Lema huenda ndio kauli mbiu yake kila mkoaanotembelea, kama kweli watu ni wasema ukweli na walikuwepo Arusha wakati wa huo mkutano wanaweza kutuambia na kulithibitisha hili tamko.
 
Kweli tumezidisha mahaba kwa ukawa, mimi natamani mabadiliko isipokuwa penye ukweli lazima tuseme. Nilihudhuria mkutano huo na ni kweli lowasa alisema anamwamini sana lema ni mchapa kazi na anamtuma Tanesco ikishindikana ampigie simu, kauli hiyo hiyo aliitoa mwanza kwa wenje
 
Huyo Mkulugenzi Anawekwa Kwenye Kumbukumbu Kama Tatizo Ni La Kwake Bas Akisikia Lowasa Ni Rais Atafute Kwa Kwenda Kakini Kama Ni La Kitaifa Amepona, Na Nazani Alitoa Majibu Kuwa Tatizo Ni La Kitaifa,
 
Habari wana Janvi.

Kwa wana Ukawa wote na Watanzania kwa ujumla wanao fuatilia siasa za nchi yetu bila kujali itikadi za kisiasa mtakuwa mnakumbuka jambo hili.

Hivi karibuni wakati Ukawa wanamtambulisha mgombea wao Mikoani, mgombea wa Ukawa Mh Edward Ngoyi Lowasa alitoa tamko au agizo ambalo wana Ukawa wanaliita "Tamko Zito" alimuagiza anaejiita/kuitwa Rais wa Arusha Mh Godbless Lema aende kwa Mkurugenzi wa TANESCO Arusha akafuatilie suala la tatizo la kukatika kwa umeme kwa lugha nyingine amwambie Mkurugenzi akome kukata umeme Arusha, na kama Mkurugenzi hatamsikiliza Lema,basi Lema amtwangie Mh Lowasa.

Kinachonishangaza tangu tamko hili litolewe umeme bado unakatika na maeneo mengine umezidi tofauti na ilivyokuwa mwanzo, Je? Mh Lema alikaidi maagizo ya Mh Lowasa? au Mkurugenzi amekaidimaagizo ya Mh Lema?

au Mh Lowasa aliongea haya ili apate huruma ya wananchi? yaani ilikuwa ni kauli aliyoitoa bila kujua kama hana uwezo wa kumfanya chochote Mkurugenzi wa TANESCO?

N.B naomba ufafanuzi wa maswali yangu hayo wanajamvi.
Mimi binafsi nimekutana na Lema jumatatu 17 August saa 3.12 ofisi ya TANESCO nikitoka ofisi ya meneja.mimi nilijibiwa meneja ametoka na wenzake wanne toka saa 2 .15 aliingia tuu na kutoka .na imekuwa anafanya hivyo wiki ya pili hii inaanza .na hali kadhalika Lema nae alijibiwa hivyo hivyo .kwa ufupi huyu meneja aonekani ofisi kabisa .mimi nadai hela yangu tanesco.cha ajabu wiki 3 sasa simkuti ofisini .yaani sijui nini heri angeonekana akaelezea angalau.tukajua nini tatizo la umeme.hili tujipange.na wasiwasi sana hela ya mafuta ya standby generator ya mkoa wa Arusha pesa zimeibwa au zimeingizwa kwenye kampeni ya chama cha mapanya.sio bure meneja anakimbia ofisi
 
Kweli tumezidisha mahaba kwa ukawa, mimi natamani mabadiliko isipokuwa penye ukweli lazima tuseme. Nilihudhuria mkutano huo na ni kweli lowasa alisema anamwamini sana lema ni mchapa kazi na anamtuma Tanesco ikishindikana ampigie simu, kauli hiyo hiyo aliitoa mwanza kwa wenje
Bora ya wewe ambaye nafsi inakusuta kwa baadhi.!
 
Umeandika kama statement subject yako halafu ndani unauliza maswali lukuki.
We mzima kweli?
 
Yote kwa yote umeme imekuwa kero mno na si tu Arusha ni TZ yote na hakuna tamko rasmi ni nini kinaendelea...Kweli WATZ tuna nidhamu ya woga mno...
Alafu wapenzi wachama tawala wanashibikia umeme kutokuwepo wakidhani wanawaumbua wapinzani.

Ndiyo maana kuna watu wanasema "kushabikia/Mwana CCM ni kuwa Mchawi"
 
Huyo El Hana jipya fisadi aliyemhonga mbowe vs mtei Urais kwake itaendelea kuwa ndoto.
 
acha Lowassa hata raia wa kawaida asiyekuwa na wadhifa wowote anayo haki ya kumuuliza meneja wa tanesco na kumueleza lazima umeme upatikane maana ni kodi zetu, wacha ujinga wa kiccmccm
 
Hivi Mazaya maanake ni nini? au Mashavu. Ikiwa ndivo basi yatakuwa ni mashavu ya kwenye nanihii zilizopo katikati ya miguu ya akina wamama.

Lowassa alisema hayo akiwa Mwanza na alimwambia Wenje
 
Last edited by a moderator:
Mimi binafsi nimekutana na Lema jumatatu 17 August saa 3.12 ofisi ya TANESCO nikitoka ofisi ya meneja.mimi nilijibiwa meneja ametoka na wenzake wanne toka saa 2 .15 aliingia tuu na kutoka .na imekuwa anafanya hivyo wiki ya pili hii inaanza .na hali kadhalika Lema nae alijibiwa hivyo hivyo .kwa ufupi huyu meneja aonekani ofisi kabisa .mimi nadai hela yangu tanesco.cha ajabu wiki 3 sasa simkuti ofisini .yaani sijui nini heri angeonekana akaelezea angalau.tukajua nini tatizo la umeme.hili tujipange.na wasiwasi sana hela ya mafuta ya standby generator ya mkoa wa Arusha pesa zimeibwa au zimeingizwa kwenye kampeni ya chama cha mapanya.sio bure meneja anakimbia ofisi
Kuandika huwezi, umefanya biashara gani na TANESCO hadi uwadai pesa?!
 
Habari wana Janvi.

Kwa wana Ukawa wote na Watanzania kwa ujumla wanao fuatilia siasa za nchi yetu bila kujali itikadi za kisiasa mtakuwa mnakumbuka jambo hili.

Hivi karibuni wakati Ukawa wanamtambulisha mgombea wao Mikoani, mgombea wa Ukawa Mh Edward Ngoyi Lowasa alitoa tamko au agizo ambalo wana Ukawa wanaliita "Tamko Zito" alimuagiza anaejiita/kuitwa Rais wa Arusha Mh Godbless Lema aende kwa Mkurugenzi wa TANESCO Arusha akafuatilie suala la tatizo la kukatika kwa umeme kwa lugha nyingine amwambie Mkurugenzi akome kukata umeme Arusha, na kama Mkurugenzi hatamsikiliza Lema,basi Lema amtwangie Mh Lowasa.

Kinachonishangaza tangu tamko hili litolewe umeme bado unakatika na maeneo mengine umezidi tofauti na ilivyokuwa mwanzo, Je? Mh Lema alikaidi maagizo ya Mh Lowasa? au Mkurugenzi amekaidimaagizo ya Mh Lema?

au Mh Lowasa aliongea haya ili apate huruma ya wananchi? yaani ilikuwa ni kauli aliyoitoa bila kujua kama hana uwezo wa kumfanya chochote Mkurugenzi wa TANESCO?

N.B naomba ufafanuzi wa maswali yangu hayo wanajamvi.

Lowasa anatoa maagizo kama nani?
 
Umeme unakatika, lkn afadhali ipo. Mtaani kwangu badala ya kupata umeme kwa masaa2 tu tena usiku, sasa wanakata masaa mawili mpaka manne tena usiku.
 
Mimi binafsi nimekutana na Lema jumatatu 17 August saa 3.12 ofisi ya TANESCO nikitoka ofisi ya meneja.mimi nilijibiwa meneja ametoka na wenzake wanne toka saa 2 .15 aliingia tuu na kutoka .na imekuwa anafanya hivyo wiki ya pili hii inaanza .na hali kadhalika Lema nae alijibiwa hivyo hivyo .kwa ufupi huyu meneja aonekani ofisi kabisa .mimi nadai hela yangu tanesco.cha ajabu wiki 3 sasa simkuti ofisini .yaani sijui nini heri angeonekana akaelezea angalau.tukajua nini tatizo la umeme.hili tujipange.na wasiwasi sana hela ya mafuta ya standby generator ya mkoa wa Arusha pesa zimeibwa au zimeingizwa kwenye kampeni ya chama cha mapanya.sio bure meneja anakimbia ofisi

Mbona namba za manager zinajulikana na zipo kwenye mtandao??

Ofisi haihami!
 
Kukatika kwa umeme ni nchi nzima ndugu, huu ni mgao au ndio maandalizi ya kukata umeme nchi nzima siku ya upugaji kura ili wachakachue vizuri. Juzi nilikuwa mbeya ni hivyo hivyo huku nilikwa hivi navyoandika hapa nachaji simu kwenye gari
 
Back
Top Bottom