Mnalalamika kama majike, mbona enzi la dhaifu Jk mlikuwa mnajifanya ngangari? Komaeni watoto was kiume, huyo ndo Magu a. k a jiwe.CCM mnawafanyia wenzenu haya haya kila uchwao. mkifanyiwa nyie mnalialia hovyo na mnaanza kuwamwagia risasi raia wasio na hatia....
kwendeni zenu uko, bila polisi nyie CCM wepesi kama karatasi ya kuchambia!!