Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hi aibu kwa kweli.Kampeni tayari nini!!?? Yaani CDM kila mara siasa tuuuuu!!
Kwa kuwa ni msiba wa mwanasiasa haina neno! Ukifa wewe hatafanya siasa kwenye msiba wako!
Ni suala dogo tu kisaikolojia...afarikipo muisilamu msikitini tunapata mawaidha,kanisani tunapata mahubiri kwa mkristu(o) sasa taabu ipo wapi kupata vionjo vya kisiasa kwenye msiba wa mwanasiasa ambaye hata kuugua kwake kulichukuliwa kisiasa?Hii ni hatari
Lakini hakukua na watu kuongelea siasa.Kuna yule mfanya biashara dawa zakulevya masogange kule mbeya
Balaa ilikuwa kijani na njano all the way siasa ni hatari sana.
ndugu, naomba unipe tofauti iliyopo kati ya hii ya Lema na ile ya mwenyekiti wenu pale uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha kwenye hafla nyeti kabisa ya kijeshi akaitumia kupokea wale madiwani kuingia CCM.Sasa naanza kumuelewa Mtu mmoja aliyewahi kusema kwamba huenda hadi kufikia mwaka 2020 kunaweza kusiwe na Chama cha CHADEMA nchini Tanzania au kikawepo na Viongozi wake tu wale Wakuu ila Wanachama wake wengi akili zao zilizotekwa ' Kianaharakati ' zikawakaa sawa na kuamua kurudi rasmi kwa wenye akili na umakini CCM.
Ngoja niiquote hata kama ukija kuifuta itabaki kwenye quote yangu tu.Sasa naanza kumuelewa Mtu mmoja aliyewahi kusema kwamba huenda hadi kufikia mwaka 2020 kunaweza kusiwe na Chama cha CHADEMA nchini Tanzania au kikawepo na Viongozi wake tu wale Wakuu ila Wanachama wake wengi akili zao zilizotekwa ' Kianaharakati ' zikawakaa sawa na kuamua kurudi rasmi kwa wenye akili na umakini CCM.
kweli kabisaSasa naanza kumuelewa Mtu mmoja aliyewahi kusema kwamba huenda hadi kufikia mwaka 2020 kunaweza kusiwe na Chama cha CHADEMA nchini Tanzania au kikawepo na Viongozi wake tu wale Wakuu ila Wanachama wake wengi akili zao zilizotekwa ' Kianaharakati ' zikawakaa sawa na kuamua kurudi rasmi kwa wenye akili na umakini CCM.
mkuu, huu uzi magamba wataukimbia wenyewe.Ngoja niiquote hata kama ukija kuifuta itabaki kwenye quote yangu tu.
Tofautisha kuongea siasa na kufanya siasa. Hiki wanachofanya Chadema ni kuwadhalilisha Wafiwa, ni kudhalilisha marehenuWatanzania aliyetuloga amefariki naye,tutasubiri sana,hapa they celebrate the life ya mtanzania mwenzetu aliyejitoa mhanga kuendeleza jimbo lake na watanzania kwa ujumla,nothing wrong kuongea aliyoyafanya marehemu na kumbuka marehemu alikuwa mwanasiasa,jamani watanzania wenzangu tuanze kuwa sehemu ya dunia ya sasa,kumbuka msiba wa Mama Nomzamo Mandela,viongozi wa kisiasa waliongea siasa mno ili kumuenzi marehemu aliyetumia muda wake mwingi kupigania haki za wengi,kumbuka CIC Malema alivyoongea,he is luck angekuwa ni mwanasiasa mtanzania kufikia leo ile Nissan nyeupe ingeshampitia.
Nani akimbie upuuzi wa kutafuta kiki misibani?mkuu, huu uzi magamba wataukimbia wenyewe.
kweli nyani haoni "tundule"!