Kinyungu
Platinum Member
- Apr 6, 2008
- 22,467
- 45,227
🤣🤣🤣Mm sio ccm
🤣🤣🤣Mm sio ccm
Kuna sisi ndugu zake wa karibu, tubaki tuendelee kukandamizwa?Ulitaka aondoke na Arusha nzima?
Ila alisema haogopi tena vitisho, na wala haogopi binadamu yoyote bali MunguLema si mjinga kukimbia,tayari alishanusa harufu ya uharamia.
Lakini alisema haogopi tena vitishoComrade umeghafilika bila sababu hadi umeonyesha kama una hasira na Lema kwa sababu umemkosa-kosa.
Kivipi? Si alisema haogopi tena vitisho? Na sisi ndugu zake wa karibu tukimbilie wapi?Yaan mmeumia sana kumkosa Lema, mlitaka kumfanya nini? Acheni roho mbaya nyie ccm!
Ina maana na wale watoto nao wametishwa?Acha ufala wewe mbung'o. Atishwe yeye halafu aondoke na wewe shangazi yake? Una akili timamu kweli? Kwani na wewe umetishwa? Maccm mna laana sana nyie. Kama unaona amekuzidi kukimbilia kaskazini, wewe zama kusini, mjinga mkubwa wewe.
Yeye mwenyewe alisema haogopi binadamu bali Mungu, ila cha kushangaza amemuogopa binadamu na sio MunguYangemkuta akiwa nyumbani mngemsema Kiburi kwa kunukuu kauli zake za kishujaa. Sasa ameondoka imekuwa nongwa.
Even braves die once. Tujifu ze kubeshimiana.
Wewe kama mapambio yameisha, tunga mengine acha kuchosha watu hapa. Mbona kama umeumia sana? Alikuwa hawara yako?Ina maana na wale watoto nao wametishwa?
Ila alisema haogopi binadamu yoyote, sasa imekuwaje amekimbia kwa kutishwa na binadamu?Yaonekana hili limekugusa sana. Kwani ulipewa tenda ya kumuua sasa kakimbia na kukuharibia tenda yako? Kilangila.
Inasikitisha sana. Watu kuwa wabinafsi kupitiliza.Hapa nimebaki na maswali mengi sana, pale nyumbani kwa lema kuna ndugu pia, kuna mtoto wa mawazo( yeye mwenyewe ndio alisema anamlea mtoto huyu nyumbabi kwake).
Leo imetokea hatari/vitisho kwake, kakimbia na mke na watoto wake tu, je hawa wengine nao wakimbilie wapi?
Huyu muongo bado unamwamini tu? Kawadanganya nyumbu bado mnashangilia.Na wewe unaumia Lema kukimbia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji120]