Go M7

Mwana-G

Member
Joined
Jan 9, 2016
Posts
45
Reaction score
15
Uchaguzi wa mwaka huu Uganda ulikuw mgumu kwa M7 kama wapinzan wangeungana utofauti wao utakao wafanya wazigawe kura unanifanya ni mtabirie M7 ushind mnono vip ww mshind wako nani.... Mwaka huu wakidai wameibiwa kura itabidi dunia izibe maskio utakuwa ni uongo wa kiwango cha hali ya juu.
 
Museven lazima ashinde hawa wapinzani wake wamejiangamiza wenyewe, kosa hili ndio linalofanya vyama tawala viendelee kuongoza milele. Ubinafsi.
 
Wasingeweza kuungana kwamaana wote walisha shika nyazifa kubwa. Kwahiyo wao wote wa wawili wanashida na uraisi sio kumtoa m7 madarakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…