Go east go west .. Home is best

Go east go west .. Home is best

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,928
Reaction score
828,568
Ni vema MAKANDE chakula kikuu cha Wapare yakatambuliwa kana chakula pendwa kiafya cha Taifa la Tanganyika kwa sababu zilizo wazi kabisa kuanzia wepesi wa pishi lake mpaka faida nyingi za kiafya
1747175218740.jpg
 
Sijawai yaelewaga makande kabisa na ukitaka niache kula Basi pika MAKANDE.

Ugomvi wa Mimi na makande ulipogo anziaga..😊

Nikiwa HIGH SCHOOL kwa Ile miaka miwili nili ISHI Maisha KIBISHI BISHI KULA VYAKULA AMBAVYO NGURUWE AKIPEWA ANAGOMA UGALI MAHARAGE NA KANDE.

YALE MAKANDE YA KUUNGUA MAHARAGE YENYE VUMBI NA MAWE SIKUWAI KUFURAHIA YALE MAUGALI NA MAKANDE YA PALE NDIO MAANA NINA BIFU NA MAKANDE.
 
Sijawai yaelewaga makande kabisa na ukitaka niache kula Basi pika MAKANDE.

Ugomvi wa Mimi na makande ulipogo anziaga..😊

Nikiwa HIGH SCHOOL kwa Ile miaka miwili nili ISHI Maisha KIBISHI BISHI KULA VYAKULA AMBAVYO NGURUWE AKIPEWA ANAGOMA UGALI MAHARAGE NA KANDE.

YALE MAKANDE YA KUUNGUA MAHARAGE YENYE VUMBI NA MAWE SIKUWAI KUFURAHIA YALE MAUGALI NA MAKANDE YA PALE NDIO MAANA NINA BIFU NA MAKANDE.
Ni sacred meal kwetu.. Na ni chakula kitamu sana😋😋😋
 
Kwakuwa kina mfumo bora wa kuyeyuka tumboni hivyo huwezi pata kitambi
Kwa kweli mwaka ule nilipokuwa kilimanjaro kitambi nilikisikia tu lkn saivi nimeanza mazoezi ya kukipunguza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom