teac kapex
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 470
- 136
Jamani naomba msaada wa kuingia kwenye account yangu nimejaribu kuingia nikaweka password then ikanitaka niweke jina la rafiki yangu wa utotoni lakini jibu lake nilikwisha lisahau toka nilipo sign up na gmail account hivyo nashindwa kuingia naomba kwa anaejua nifanyeje kulijibu swali hilo ambalo nilikwisha lisahau