Ajira Tanzania
Member
- Feb 8, 2017
- 79
- 27
Baada ya kuwa jobless kwa muda mrefu, leo kuna jamaa kanipeleka makumbusho kwenye ofisi za Alliances Global. Hao jamaa wanataka utoe laki 5 alafu ujiunge nao.
Baada ya hapo inabidi utafute watu wa wili wajiunge chini yako na unapewa products zao kwa ajili ya kuuza au kutumia. Utaanza kupiga pale walio chini yako nao wakileta watu, kwa kifupi mutengeneze chain fulani.
Products zao wanadai zinasaidi matatizo mengi ya kiafya.
Je, hao watu ni matapeli?
Baada ya hapo inabidi utafute watu wa wili wajiunge chini yako na unapewa products zao kwa ajili ya kuuza au kutumia. Utaanza kupiga pale walio chini yako nao wakileta watu, kwa kifupi mutengeneze chain fulani.
Products zao wanadai zinasaidi matatizo mengi ya kiafya.
Je, hao watu ni matapeli?