Giving up is worse than death

Giving up is worse than death

adriz

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2017
Posts
15,569
Reaction score
33,953
IMG_20260204_195647.jpg


#Kukata Tamaa ni sawa na Kukubali kuwa wewe ni maiti

Tupo site uwanja wa vita tunapambana bila kukata tamaa tukishindwa tunainuka tena na kufanya tathimini wapi tulipo kwama na kurekebisha Kisha kuja na nguvu mpya mpaka tone la mwisho Triumphantly..
IMG_20260115_181601.jpg
 
Kuna baadhi ya mambo katika maisha ni impossible hata usipo give up! Hayatimii, Hutayakamilisha.

Solution pekee niku give up!

Huu msemo wa "never give up" upo kinadharia zaidi lakini kiuhalisia si rahisi kiivyo.
 
Faida za kukata tamaa

1 . Kuna okoa mda.

2. Kuna Linda afya ya akili.

3.kuna okoa upotevu wa nguvu.

4. Kuna fungua milango ya fursa mpya
 
Faida za kukata tamaa

1 . Kuna okoa mda.

2. Kuna Linda afya ya akili.

3.kuna okoa upotevu wa nguvu.

4. Kuna fungua milango ya fursa mpya
Kuna vitu na vitu na Kuna scenarios sio kila misimamo au kanuni itatumika na kufanya kazi kila sehemu na katika kila hali.

Mfano mtu umejiajiri biashara zijaenda kombo na ukajaribu kutafuta kazi ukakosa sasa utamshauri akate tamaa akae ndani asuburi kifo tu ?
 
Kuna vitu na vitu na Kuna scenarios sio kila misimamo au kanuni itatumika na kufanya kazi kila sehemu na katika kila hali.

Mfano mtu umejiajiri biashara zijaenda kombo na ukajaribu kutafuta kazi ukakosa sasa utamshauri akate tamaa akae ndani asuburi kifo tu ?
Kukaa ndani, sio kukataa tamaa mtu anaweza amua kulala mwaka mzima tu na bado hajakata tamaa , ila kapumzisha fuvu anatafakari njia mpya na nzuri za kufanya .
 
Kuna baadhi ya mambo katika maisha ni impossible hata usipo give up! Hayatimii, Hutayakamilisha.

Solution pekee niku give up!

Huu msemo wa "never give up" upo kinadharia zaidi lakini kiuhalisia si rahisi kiivyo.
Siri ya never give up, iko hivi..kuwa ukiona kuna wazo limeingia kichwani mwako ujue kuna uwezekano mkubwa unauwezo wa kulitelekeza.Binadamu sio wajinga huwezi ukawa umelala kitandani mwako huna hata baiskeli ukatamani kumiliki milki meli: mtu aliye na baiskeli atatamali awe na boxer, ukipata boxer utatamani ICT, ukipata ICT, mtu ataenda Toyota Hilux n.k...
 
If you can't fly then run,
If you can't run then walk,
If you can't walk then crawl,
But whatever you do,you have to keep moving forward.
 
Back
Top Bottom