!ooh ni hilo tu! karibu MUGEREZI SPATIAL TECHNOLOGY (MUST COLLEGE) hapa ubungo plaza! 0789~328 291
Soko lake likoje mkuu, ahsante kwa mchango
short course itakubana maan ni ki part tuu cha course ila course ni geoinformatics ambayo ina Remote sensing hii inejikita kwenye mambo ya satelilite images, database management system,computer programing, survey nikimaanisha upimaji wa ardh, cartography undaaji wa ramani, global psition system(GPS) ,Geographical information system (GIS) hapa ndio upana wa course lkn gis kama gis wanafundisha coz fupi hio ya ardhi university ni coz iliopo chini ya chuo kilichopo nertheland na unatakiwa uwe inservice ,ipo pale infobrige consultancy ni gis tuu ,kwahio cheki pale bagamoyo university wanatoa degreeHabari zenu wana intelijensia,,Naomba msaada wa maelezo kuhusu short course ya GIS hapa Dar na fursa zake katika soko la Ajira mana nahitaji kusoma short course ya hii kitu,nina shahada ya Uongozi wa Jamii
Natanguliza shukrani.
short course itakubana maan ni ki part tuu cha course ila course ni geoinformatics ambayo ina Remote sensing hii inejikita kwenye mambo ya satelilite images, database management system,computer programing, survey nikimaanisha upimaji wa ardh, cartography undaaji wa ramani, global psition system(GPS) ,Geographical information system (GIS) hapa ndio upana wa course lkn gis kama gis wanafundisha coz fupi hio ya ardhi university ni coz iliopo chini ya chuo kilichopo nertheland na unatakiwa uwe inservice ,ipo pale infobrige consultancy ni gis tuu ,kwahio cheki pale bagamoyo university wanatoa degree
ardhi wanatoa bachelor nao ukiacha ile short courseNshaku chek kiongoz
lkn kwa hapa mugerezi ni babkubwa utapata kozi ambayo itakupa kwa undani zaidi gis remote sensing wako makumbusho ckuizi, kiukweli ukisoma pale itakusaidia , mi nimesoma geoinformatics lkn before linisoma pale ertificate huku mbele sikupata kipya katka gis n remote sensing sababu y coz y pale mugerezi km untaka coz fup suluhisho ni mugereziHabari zenu wana intelijensia,,Naomba msaada wa maelezo kuhusu short course ya GIS hapa Dar na fursa zake katika soko la Ajira mana nahitaji kusoma short course ya hii kitu,nina shahada ya Uongozi wa Jamii
Natanguliza shukrani.
Mkuu, uliskma Bachelor au Masters ya GIS?Ipo hapa ARU kama mdau alivyokwambia hapo Juu,mimi binafsi mwaka huu ndo namalizia Degree ya hiyo kitu hapahapa Ardhi,tembelea hapa
http://www.aru.ac.tz/images/documents/pdf/adverts/GIS Course 18th November 2013.pdf
Karibu!