Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,059
- 15,532
Nakuwa nayo ya nini? Si ya kuwasiliana na watu wangu wa karibu na wale wanaonijua? Sasa wewe usiyenijua naachaje kukuuliza umetoa wapi namba yangu? Kwanini huwa hamuwezi kujibu hilo swali?
Am 43 na bado nauliza.
Hilo swali niliulizwa jana...Hivi kwanini hilo swali huwa linawakera sana wanaume?
Kwani ni vigumu sana mtu kujibu umepata wapi namba?
Hatuoni ni swali gumu, ni swali la kipuuzi. Mpaka nakupigia unadhani nimekosea namba? We jua tu kuna mahali nimeipata, and on later days ntakwambia niliipata wapi?Mwanaume anaeshindwa hata kujieleza namba katoa wapi wa kazi gani. Wacha tugonge tu 50. Hilo ni swali gumu lakini huwa mwanamke anatafuta assurance akijua ulipotoa namba atakua comfortable kwako pia sema wanaume hamjui na mnaona hilo swali ni gumu kweli kweli.
Sio kazi sio biashara wakati nakukaribisha dinner nikutongoze? Unataka biashara gani? Mimi nikishajitambulisha inatosha. Mambo ya namba yako nimepata wapi, we unadhani nitakuwa nimeipata wapi? DamnMpuuzi zaidi ni yule anaetaka kuwasiliana na mtu. Yani uchukie muda wangu tuwe tunachat unanipigia simu tuongee sio kazi sio biashara na hutaki kusema umepata wapi namba angu. Mimi huyu kwangu ni mpuuzi grade A. Na huwa sitoi hata dk moja yangu. Kama miaka inajongea na iende tu.
Tunatoa tahadhari. We jifariji tu.Yani cha ajabu wanaume kila siku ndio mko busy kuleta uzi kuhusu uzee wetu wanawake, mara umri unaenda. Mbona sie wenyewe hatulalamiki kuhusu umri kwenda. Yani why taking panadol for someone else headache!!?
Wakati mwingine umeipata kwa njia za intelejensia. Houseboy kakupa namba, ukimtaja anaweza kupoteza kazi. Anyways, halijawahi kunishinda hili swali.Hivi kwanini hilo swali huwa linawakera sana wanaume?
Kwani ni vigumu sana mtu kujibu umepata wapi namba?
Kadri siku zinavyozidi kwenda mbele namba ya simu sio ishu tena.
Yaani mtu anaweza kupata namba yako ya simu muda wowote atakaoitaka.
Mpuuzi zaidi ni yule anaetaka kuwasiliana na mtu. Yani uchukie muda wangu tuwe tunachat unanipigia simu tuongee sio kazi sio biashara na hutaki kusema umepata wapi namba angu. Mimi huyu kwangu ni mpuuzi grade A. Na huwa sitoi hata dk moja yangu. Kama miaka inajongea na iende tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weee mbona humu JF watu wanahangaika kuomba namba za simu PM? Kama wanaweza kuzipata muda wowote wanaotaka si wazipate sasa mbona wanaomba? Usumbufu tu
Au kama ni kweli siku hizi namba za simu ni rahisi kuzipata basi kuanzia leo wanaotuomba namba tutakuwa tunawaambia wazitafute wanakojua hadi wazipate halafu wakishazipata tukutane whatsapp
Hivi kweli unaachaje kuliuliza furushi limepataje namba yako[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Wengine kupata namba yako ni laana acha tu muulizwe. Namtaulizwa tu hata tukifika 50.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Msitutishe bwana.Menopause
Walah ukifikisha 35 huwezi uliza ati umepata wapi namba yangu, otherwise uwe kwenye ndoa!