Wanaume bwanaKuna siku nilipokea simu ya manzi mmoja ana sauti tamu mithili ya kinanda, alikuwa anamuulizia Arnold. Nikamweleza kistaarabu mimi siitwi Arnold, baadae nikaanza mapambano ya kutengeneza ukaribu bila mafanikio. Hakupokea simu zangu, wala hakujibu meseji zangu.
# wewe binti popote upo, ulinijeruhi hisia zangu japo kwa dkk tano.
Sasa si mzioe?Ukiona mali inaozea nyumban lazima ikuume
winks** judging from most of your comments here i doubt if you are in happy marriage! that’s marriage of yours must be hell on earth.. sio kwa comments zinazo asharia frustration na uchungu wa hali ya juu.
Kwahiyo mnatushauri nini? Maana kuna wengine tuko above 30 na hatuna majamaa ya kueleweka.
Nyie kama zetu mnatushauri tufanyeje ili tuolewe tupunguze hizi stress na frustrations mnazotuona nazo?
Kusema kusikiliza mwanaume ilimradi mwanaume tumeshakataa semeni kingine
Wanaume bwana
Haya mnayoyasema yangekuwa ya kweli, basi hakika kila mwanamke angekuwa ameolewa na ana ndoa yenye furaha.Huwezi jua, labda ndio ndio ilikuwa chemchem yangu ya jangwani , au inawezekana ndio ilikuwa chakula kama walichopewa wana Israel kule jangwani.
Don't ignore the signs.
Seems like you have an answer for every question. Trust me,that's not a good signWatu tunaangalia content maana kuna watu wanaandikaga threads ambazo heading haziendanagi na content
It's a long weekend bossbro!! don’t take serious these old cargos they are bitter as fvck! you can observe it through their write ups
Mtu akishakata tamaa ndio basi tena. Lazima ashikwe masikio.Kabisa yaani sijui kwanini kuna wanawake wanakubali kudanganyika hivyo daah
Hatujilaumu tunawashangaa nyie mnaotulaumu sijui mnataka tujioe?Mimi sina cha kuwashauri ambacho hamkijui, na kwangu sioni kama ni tatizo ambalo mdada anatakiwa ajilaumu. Sana sana, do your best and hope for the best.
Hatujilaumu tunawashangaa nyie mnaotulaumu sijui mnataka tujioe?
Usijichoshe kuanza kuelezea mtu asiekujua mama.Kama ambavyo wanaume wengi humu huwa mnapiga na kusepa au mnazalisha na kuacha hehe ila mie nilishasema hata wanawake wote JF waseme kuwa wana waume na watoto mimi hainihusu ili mradi ukweli wangu uko pale pale kuwa mimi nina mume na watoto basi sijui wengine wanaodanganya ili kuwafurahisha watu humu
Hapa nimeelewa mkuu. [emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha, huu upinzani kama wa CCM na CHADEMA, watu wakipata cha kuongea wataongea na nyie mkipata cha kuongea mtaongea tu.
Kuna siku nilipokea simu ya manzi mmoja ana sauti tamu mithili ya kinanda, alikuwa anamuulizia Arnold. Nikamweleza kistaarabu mimi siitwi Arnold, baadae nikaanza mapambano ya kutengeneza ukaribu bila mafanikio. Hakupokea simu zangu, wala hakujibu meseji zangu.
# wewe binti popote upo, ulinijeruhi hisia zangu japo kwa dkk tano.
Kuolewa sio kuamua.
Ingekua ni kuamua tu si tungeshaamua tuolewe?
Nyie mnataka kila mwanamke akae kwenye ndoa ili awafurahishie nyie wanaume aonekane na yeye ni bora.
Ndoa sio kwa ajili ya nyie muone fulani ana ndoa kumbe hana furaha.
Nyie endeleeni kuoa na sisi tukipata tunaowapenda tutaolewa nao.
Miaka 30 sio mwisho wa maisha wala kutongozwa.
Hawa wadada wenye 30 plus, wengine ni ndugu zetu na wengine ni watarajiwa wetu, huwa wana stress ni hakuna. Hapa watajifanya wapo bold, ila kiukweli wanaungulia ndani kwa ndani.
Hata sisi wanaume huwa tunapata tabu sana kutongoza manzi wa age hiyo kama ana mtu wake tayari na jamaa anaeleweka eleweka. Hata kama demu zamani alikuwaga ganda la ndizi.
Nishakutana nao kama watatu wana plan za kuzaa tu, maana washakata tamaa.
Kiukweli huo sio umri mzuri kwa mwanamke ambaye hana jamaa anayeeleweka.
Ile sauti hukuisikia wewe, mtoto ana sauti laini. Alijeruhi hisia zangu kwa dakika tano nikamsahau.don’t take women too serious!! understand your values bro! umekuumiza nini sasa hapo?
Hehe nilishasema kuliko kuwa kwenye ndoa ambayo nateseka ni bora niwe hata single mother yaani kuliko kuvumilia manyanyaso ya mume ni bora nivumilie majungu ya jamii tu after all mimi siishi kwa kufuata mitazamo ya jamii and what is jamii by the way?
Ila nashukuru nina ndoa yenye furaha kwa kweli na simlazimishi mtu aniamini maana hata watu wasipoamini bado haibadilishi ukweli wewe kama unanidescribe mimi kupitia posts na comments zangu humu basi una matatizo na unahitaji msaada siyo bure
Ile sauti hukuisikia wewe, mtoto ana sauti laini. Alijeruhi hisia zangu kwa dakika tano nikamsahau.
Usijichoshe kuanza kuelezea mtu asiekujua mama.
Yani wanaonaga mtu akiwa na vitu wanavyovitamani wao na hawana basi anabrag au hana anaandika kujifurahisha.
Eti JF wote. Kwahiyo kama mtu ana ndoa asiseme? Ni wivu tuu unawasumbua na wameshazoea kuwaweka kundi fulani wanawake wa JF ndio maana wakiona ambae hayupo huko wanapata hasira na kuanza kutoa comments za chuki