Girlfriend wangu nahisi ananichezea akili yangu

Girlfriend wangu nahisi ananichezea akili yangu

labda alikuwa anakupima kuona kama kweli endapo ikitokea hiyo hali utamkubali ama utamkimbia......
 
Kapime ngwengwe, kama huna uache kuuza gemu.
 
Alikuwa anapima upepo unavumaje na kuelekea upande gani, mkifanya uzinzi tena atabeba kweli. Tafadhali sema uzinzi sio tendo la ndoa.
 
Alikua anajaribu kuona msimamo wako na yeye....Alikua anakudanganya...ishanitokea...mimi nilimwaga vumbi
 
Imepita mwezi toka tufanye tendo LA ndoa ..........wakati tunafanya mapenzi hatukutumia kinga na yeye alikuwa kwenye danger ya kupata mimba....Siku zilivyoenda akasema hajaziona Siku zake kuashilia kua ameishapata mimba..... Kadri Siku zilivyoenda akanambia anahisi kama ni mja mzito... Mimi nikamwambi kwa uhakika zaidi basis upime kama ni mjamzito..akanambia hataki Pima... Mimi nikamwambi don't worry cause I love you so much nipo tayari kwa lolote juu ya mimba... Akaanza visingizio vingi Mara hook Mimi (yeye) anataka akasome masters.. Nikamwambia there is no problem....nikamwambi huwezi na sitaki sikia unataka to a mimba!! Hii ni kwasababu ninampenda sana tena sana.. Akanambia okay ... Sasa Leo ananambia ameingia period? Wadau hivi is it possible kweli? Ninavyoonge hivi Mimi nipo iringa yeye yupo dar!!! Naombeni ushauri wenu wadau.. Karibuni

pole sana, hii ni moja ya tekniki inayotumiwa na wanawake kama kipimo cha upendo kwa Mwanaume wake, ili wahi kunitokea nikiwa second year, tena me nilidanganywa nipo na doctor anasema nina mimba ya miezi mitatu, nilipomwambia nimefurahi kusikia hivyo kasema alikuwa ananipima.
 
Back
Top Bottom