Girlfriend wangu nahisi ananichezea akili yangu

Girlfriend wangu nahisi ananichezea akili yangu

VPN USED2020OCTOBER28

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2011
Posts
1,505
Reaction score
676
Imepita mwezi toka tufanye tendo la ndoa wakati tunafanya mapenzi hatukutumia kinga na yeye alikuwa kwenye danger ya kupata mimba.Siku zilivyoenda akasema hajaziona Siku zake kuashilia kua ameishapata mimba.Kadri siku zilivyoenda akanambia anahisi kama ni mja mzito.

Mimi nikamwambi kwa uhakika zaidi basis upime kama ni mjamzito akanambia hataki Pima mimi nikamwambi don't worry cause I love you so much nipo tayari kwa lolote juu ya mimba.Akaanza visingizio vingi mara huku mimi yeye anataka akasome masters.

Nikamwambia there is no problem.Nikamwambi huwezi na sitaki sikia unataka to a mimba.Hii ni kwasababu ninampenda sana tena sana.Akanambia okay sasa leo ananambia ameingia period,wadau hivi is it possible kweli ninavyoongea hivi mimi nipo Iringa yeye yupo Dar es salaam.

Naombeni ushauri wenu wadau.

Karibuni
 
Inawezekana mimba imetoka yenyewe au ametoa!!

Inawezekana kutokana na hofu ya kuhisi huenda ni mjamzito akapitisha siku za hedhi. Ukiwa na msongo wa mawazo, ukibadili mazingira inawezekana mzunguko kubadilika.
 
Wewe na huyo Mpenzi wako mlichokifanya kinaitwa 'Tendo la ngono, tena *Zembe*" Sio 'Tendo la ndoa' kama ilivyonasibisha hapo juu.
Pili,Uamuzi unao mwenyewe kwakuwa mlipotafutana mwanzo hukumshirikisha mtu.

Kwahiyo usitamfuta Mchawi mchana kweupe. Baadae mje mpatane,Uje uanze umbea; Oooo jamaa yangu dalalitz wa JF alinishauri tuachane mara yule alisema hivi mara vile. Hatutaki hapa.

du.jpg
 
dalalitz

Hapo umemaliza mkuu....tendo la ndoa linafanywa na walio kwenye ndoano pekeeee,,,huyo amefanya uzinzi/uasherati/ngono. abadilishe kauli ili apatiwe ushauri.
 
Last edited by a moderator:
mwambie kama imetoka basi yote heri tu.
kama katoa ni yeye na nafsi yake na Mungu wake ndo shaidi
 
Imepita mwezi toka tufanye tendo LA ndoa ..........wakati tunafanya mapenzi hatukutumia kinga na yeye alikuwa kwenye danger ya kupata mimba....Siku zilivyoenda akasema hajaziona Siku zake kuashilia kua ameishapata mimba..... Kadri Siku zilivyoenda akanambia anahisi kama ni mja mzito... Mimi nikamwambi kwa uhakika zaidi basis upime kama ni mjamzito..akanambia hataki Pima... Mimi nikamwambi don't worry cause I love you so much nipo tayari kwa lolote juu ya mimba... Akaanza visingizio vingi Mara hook Mimi (yeye) anataka akasome masters.. Nikamwambia there is no problem....nikamwambi huwezi na sitaki sikia unataka to a mimba!! Hii ni kwasababu ninampenda sana tena sana.. Akanambia okay ... Sasa Leo ananambia ameingia period? Wadau hivi is it possible kweli? Ninavyoonge hivi Mimi nipo iringa yeye yupo dar!!! Naombeni ushauri wenu wadau.. Karibuni

Mimi Nafurahi Sana Huyo Demu Wako Anavyokufanyia Vitimbi Na Visa Kwani Unaonekana Na Wewe Ni Bonge La POYOYO Kwa Wanawake. Hivi Kwa Akili Zako Tu Za Kawaida Kama Hapo Huyo Mwanamke Hakutaki Na Wewe Unamlazimisha Tu? Hivi Kwanini Nyie Wanaume Wenzangu Mnakuwa Wajinga Wajinga Hivi Na Mnanyanyaswa Na Hivi Viumbe Dhaifu Chini Ya Jua Hili? Labda Kwa Kukusaidia Ni Kwamba Ujue Huyo DEMU Wako UNABANDULIWA Mno Na Wanaume Wenzako Na Ninavyohisi Hata Hao Wanaume WANAOKUBANDULIA Ni Marafiki Zako Ambao Wanakujua Na Kwa Pamoja Wao Na Mkeo Wameshaujua UDHAIFU Wako. Unaacha KUMPENDA Baba na Mama Yako Unampenda Mwanamke Tena Wa Kibongo Unategemea Nini? Na Unabahati Huyo Demu Wako Simjui Kwani Hata Mimi NINGEKUBANDULIA Tu Hadi Ukome Na Ubadilike Uwe Mwanamume Wa Shoka Kama Sisi.
 
Sasa hapo akili yako imeingiaje kwenye mchezo???? Una uhakika una uwezo wa kuzalisha au sku zake tu zilichange sababu ya stress kupata mimba kabla ya ndoa wanaume wenyewe hamueleweki
 
Mti Mtu, hapo mko ngoma droo, yeye anakuchezea akili, wewe unamchezea mwili.
Imepita mwezi toka tufanye tendo LA ndoa ..........wakati tunafanya mapenzi hatukutumia kinga na yeye alikuwa kwenye danger ya kupata mimba....Siku zilivyoenda akasema hajaziona Siku zake kuashilia kua ameishapata mimba..... Kadri Siku zilivyoenda akanambia anahisi kama ni mja mzito... Mimi nikamwambi kwa uhakika zaidi basis upime kama ni mjamzito..akanambia hataki Pima... Mimi nikamwambi don't worry cause I love you so much nipo tayari kwa lolote juu ya mimba... Akaanza visingizio vingi Mara hook Mimi (yeye) anataka akasome masters.. Nikamwambia there is no problem....nikamwambi huwezi na sitaki sikia unataka to a mimba!! Hii ni kwasababu ninampenda sana tena sana.. Akanambia okay ... Sasa Leo ananambia ameingia period? Wadau hivi is it possible kweli? Ninavyoonge hivi Mimi nipo iringa yeye yupo dar!!! Naombeni ushauri wenu wadau.. Karibuni
 
Last edited by a moderator:
pole! labda hakuwa na mimba.. hatuwezi jua.! mpe hongera kwa kuingia period make ni kitu huenda alikuwa anasubiri kwa hamu kitokee.. wewe huna kosa, kama alitoa ni dhambi yake..! endeleeni kumwomba mungu awafikishe pale kila mmoja wenu anatamani mfike.
 
Ondoka Iringa haraka nenda Dar ukampe mimba mwenzio
 
Back
Top Bottom