wewe huna uwezo wa kumpa mimba au kama sijakusoma hivi
Huu ungese sasa umepigiwa mimba we unalea hivi kichwani zimo kweli we mtoto wa kiume?
wewe huna uwezo wa kumpa mimba au kama sijakusoma hivi
Wanao oa au kuchumbia wanawake wenye watoto hawana uwezo wa kuzaa au kama sijakusoma hivi.
Sasa wana oa wanawake wenye watoto ni wa ngese pia? Jamaa kamkuta demu ana mimba tayari, wewe ulitakaje? AITOE? Basi hata wanaume wanaokuta demu anaemtaka ana mtoto wamuue huyo mtoto au vipi?
Wat?am just being responsible! Niambie ubaya wake?tel me?
Sina uhakika,ila she loves me...its all about taking risk...naamini haitoweza kua hivo..