Being careless in a romantic way..
Dah! umeua, nimeipenda hii.Lea tu. Kwa hizo akili zako,ukoo wenu ni laana tupu. Mlipe huyo jamaa kukuchanganyia damu kwenu.
Ninao ila tuna kama miezi mitatu katika mahusiano ila mimba ni ya ex wake
wewe huna uwezo wa kumpa mimba au kama sijakusoma hivi
Habari zenyu wadau?yaani nina furaha sana kwamba shemeji yenu mpyaa ambaye tuna kama miezi mitatu ana ujauzito lakini kapewa Ex-boyfriend wake..nina furaha sana kwakua karibuni na mm nitaitwa baba hata kama wa kambo lakini si baba?mr.stepfather yaay
Huu ungese sasa umepigiwa mimba we unalea hivi kichwani zimo kweli we mtoto wa kiume?
kweli hiki kizaz hamnazo...