Girlfriend wangu kafanana sura na dada yangu

Girlfriend wangu kafanana sura na dada yangu

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,323
Reaction score
56,062
nikimwangalia vizuri girlfriend wangu kafanana sura na mmoja wa dada zangu,hata tukiongozana watu husema nakuona uko na sister hapo,hata kwenye kumkamua huwa namuonea aibu nahisi kama nafanya dhambi ya kutembea na dadangu,yeye ni kabila tofauti kabisa na sisi maana niliogopa nikawa napeleleza asili yao kuhofia labda mzee alichepuka ,hili swala linanikosesha amani japo nampenda
 
nikimwangalia vizuri girlfriend wangu kafanana sura na mmoja wa dada zangu,hata tukiongozana watu husema nakuona uko na sister hapo,hata kwenye kumkamua huwa namuonea aibu nahisi kama nafanya dhambi ya kutembea na dadangu,yeye ni kabila tofauti kabisa na sisi maana niliogopa nikawa napeleleza asili yao kuhofia labda mzee alichepuka ,hili swala linanikosesha amani japo nampenda
Kwaiyo? Chunguza vizur unaweza ukakuta na we umefanana na kaka yake
 
Duh hii nayo kali mpwa,ila kama sio ndugu yako sioni tatizo maana kufanana ni kitu cha kawaida,vipi na yeye anajua kafanana na wifi yake kama ndio anakuonea aibu?
 
Unakula dada yako bila kujua, fanya uchunguzi!
 
yeye hajamuona huyo dada yangu live, alimuona facebook akaadmit kasema wanafanana macho ila mi naona wanafanana sana vitu vingi hasa sura
 
nikimwangalia vizuri girlfriend wangu kafanana sura na mmoja wa dada zangu,hata tukiongozana watu husema nakuona uko na sister hapo,hata kwenye kumkamua huwa namuonea aibu nahisi kama nafanya dhambi ya kutembea na dadangu,yeye ni kabila tofauti kabisa na sisi maana niliogopa nikawa napeleleza asili yao kuhofia labda mzee alichepuka ,hili swala linanikosesha amani japo nampenda

Hivi kuna ulazima wa kuwa na thread kama hizi hapa jukwaani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom