mdalla 1
Senior Member
- Aug 11, 2014
- 120
- 20
Muache gelofrendi mpende dada yako,
hapa umemshauri au unamkomoa??
Muache gelofrendi mpende dada yako,
nikimwangalia vizuri girlfriend wangu kafanana sura na mmoja wa dada zangu,hata tukiongozana watu husema nakuona uko na sister hapo,hata kwenye kumkamua huwa namuonea aibu nahisi kama nafanya dhambi ya kutembea na dadangu,yeye ni kabila tofauti kabisa na sisi maana niliogopa nikawa napeleleza asili yao kuhofia labda mzee alichepuka ,hili swala linanikosesha amani japo nampenda
nikimwangalia vizuri girlfriend wangu kafanana sura na mmoja wa dada zangu,hata tukiongozana watu husema nakuona uko na sister hapo,hata kwenye kumkamua huwa namuonea aibu nahisi kama nafanya dhambi ya kutembea na dadangu,yeye ni kabila tofauti kabisa na sisi maana niliogopa nikawa napeleleza asili yao kuhofia labda mzee alichepuka ,hili swala linanikosesha amani japo nampenda
Dogo threads zako nyingi za ajabu ajabu!! Tafuta magazeti ya udaku uwe unaandika story za kidakuzi na machombezo, una kipaji
Hivi kuna ulazima wa kuwa na thread kama hizi hapa jukwaani?
dogo bibi yako we unafikiri kuwa wtu wazima hawana magalfriend naweza kuwa sawa na baba yako kiumri ------
Kwa hiyo unataka tukushauri nini...muache
Hee ao nomakawaida tu kaka...afu bora we anafanana na dadaako kuna wengine wao ndo hufanana!! yaani mtu anafanana na demu wake ka mapacha.
mtu mzima mwenzio niko hapa tuwe wachumba kama Dr Slaa n.a. Josephina mchumbusi usiogopedogo bibi yako we unafikiri kuwa wtu wazima hawana magalfriend naweza kuwa sawa na baba yako kiumri ------
picha nimeipenda kunguru hafugiki nataka kuaplay kwa Shemela wakokuna style kibao za kumkunja na usione sura... very simple!!! anzia na kunguru hafugiki, style zingine zitafata