w
Kuna mmoja alisema anataka kununua gari nikamwangalia, nikakaa kimya, nikamwambia nunua tusisumbuane mafuta maana mwenyewe nilipaki langu, but ukweli wanawake wanafurahia magari kuliko sisi wanaume,
Maana mbona gari unaendesha na ni kitu cha kawaida kabisa, lakini watoto wa kike ndiyo vile,
Magroup ya wasichana yanawaharibu dada zetu
wanawake wa mwendokasi achana nao mkuu,Ndugu naomba ushauri., Girl friend wangu alitaka kununua toyota Passo sasa mimi kwa sasa sina mpunga wa kununua gari maana hata mwenyewe bado niko kwenye usafiri wa jumuiya.
Sijui kakutana na jamaa gani huko mtaani mara naskia kesho anaenda kuchukua namba, hio ikiwa na maana keshanunuliwa passo na kesho inawekewa namba rasmi which means Toyota Passo money can buy is her baby now.
kwa kweli inauma mno ukizingatia nimeshampatia sana hizi elfu 50,60, 70 ambazo hata mimi mwenyewe nilikua najinyima., Amesahau kabisa kwamba maisha ni kama Mb hulala na kusimama.
Anyway nipeni ushauri lakini usiwe wa kuniumiza.
Kuna mmoja alisema anataka kununua gari nikamwangalia, nikakaa kimya, nikamwambia nunua tusisumbuane mafuta maana mwenyewe nilipaki langu, but ukweli wanawake wanafurahia magari kuliko sisi wanaume,
Maana mbona gari unaendesha na ni kitu cha kawaida kabisa, lakini watoto wa kike ndiyo vile,
Magroup ya wasichana yanawaharibu dada zetu