makandemoja
Member
- Apr 17, 2016
- 57
- 48
- Thread starter
- #21
Sasa hapo unataka ushauri gani wakati maamuzi unayo tiyari?
Bado nampenda lakini
Sasa hapo unataka ushauri gani wakati maamuzi unayo tiyari?
Utakua mwanaume wa Dar wewe!!!
Anyway, nkushauri tu kua ulipata girlfriend ambayo siyo size au type yako. Mwenzio aonyesha kupenda mambo makubwa elhali uwezo wako mdogo
Chakufanya hapo achana nae na tafuta binti wa aina yako.. Half yaelekea pia u mdhaifu kuleeeee, maana ungekua mahiri wala asingekuketea mchezo mchezo
sasa 50 60 70
unalalamika anakuvuruga kichwa chako
ungempatia passo si ungeking'oa hicho kichwa kabisa
utakua una akili mbovu
mkuu nimeshakwambia hapo juu sina pesa au nikaibe sasa??? nimesema msinipe ushauli wa kunisimanga nyiee mxxxiu
anaishi kwako au kwao?samahani lakinihajaniambia na kawa kama mjeuri flani sasa hivi.
Shukuru huyo anamtindua anampa Passo wenzio wanatombewa wanapewa virusi peke yake.
Watu wanasalitiwa japo wamehonga mpaka Majumba na Vyeo vikubwa Wewe hicho Ki elf 50 chako ulidhan ndo hatimiliki ya kumiliki uchi wa Mtu Mwingine? Uzuri lile Shimo huwa linatanuka tu lakin kwa chini halina kitako hivyo Hofu kuwa litajaa ondoa!
We Mnunulie Mafuta Tu Hapo.hajesma kaniacha lakini mimi siwezi nikawa na dem alionunuliwa passo na mtu mwingine
Kakwambia kuna mtu kamnunulia?au hisia zako tu?hajesma kaniacha lakini mimi siwezi nikawa na dem alionunuliwa passo na mtu mwingine