NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,380
Haja kwambia hakutaki,sasa kichwa kinavurugika na kitu gani? kwani mpenzi wako akiwa na gari kuna shida gani kama wewe huna? usiwe na fikra mbaya kama watu wengine kama mwanamke ana gari atakudharau sijui huyo lakini sio wote wenye tabia mbaya ...Ndugu naomba ushauri., Girl friend wangu alitaka kununua toyota Passo sasa mimi kwa sasa sina mpunga wa kununua gari maana hata mwenyewe bado niko kwenye usafiri wa jumuiya.
Sijui kakutana na jamaa gani huko mtaani mara naskia kesho anaenda kuchukua namba, hio ikiwa na maana keshanunuliwa passo na kesho inawekewa namba rasmi which means Toyota Passo money can buy is her baby now.
kwa kweli inauma mno ukizingatia nimeshampatia sana hizi elfu 50,60, 70 ambazo hata mimi mwenyewe nilikua najinyima., Amesahau kabisa kwamba maisha ni kama Mb hulala na kusimama.
Anyway nipeni ushauri lakini usiwe wa kuniumiza.