bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
wewe siku zote unadhani huwa humu ndani JF unasema/kuwasiliana na wakubwa wenzio tu? sasa subiri warudi shule wapitie pale internet cafe halafu uone majibu yao humu.Ninapoishi mimi internet cafe karibu zote utawakuta haohao
tall we acha tu hiki kizazi cha dotcom........