cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 500
Unachotaka kusema ni kuwa wanawake wanachukiana au nimelewa vibaya? samahani nilikuwa napita njia tu
tatizo mademu hamna upendo wa kweli na urafiki wa kweli kwa mademu wenzenu.lol
utakuwa unawashwa wewe!!
mbona unanichukia hivyo jamani????
maana sio mara ya kwanza unanitukana,matusi yako kwa kweli huwa hayanisumbui ila kwa vile mim nakupenda huwa ukinitukana hivi naishia kukuonea huruma sababu una dalili za mtu asiye na furaha na maisha yake.
Watu wasio na furaha na maisha yao hutafuta relief kwa kujaribu kuwakosesha wengine furaha.
Kama kuna nilipokukosea naomba uniambie nitakuomba msamaha maana mie napenda amani na kila mtu.
VILE VILE KAMA KUNA KITU KINAKUSUMBUA KATIKA MAISHA YAKO HADI UNAKUA BINADAMU MWENYE HASIRA HASIRA FEEL FREE KUNIANDIKIA PM UNIAMBIE NI KIPI HAKIJAKAA SAWA KTK LIFE YAKO THEN SABABU MIM NI MWINGI WA UPENDO NAWEZA KUKUSAIDIA.
nitafurahi sana kukusaidia sababu unaonekana unahitaji msaada.
Huu ndio uungwanammh, jamani umejibu kwa upole hadi najisikia hatia kwa kejeli niliyokurushia. naomba unisamehe na nitaku-PM tuyamalize
peace
mmh, jamani umejibu kwa upole hadi najisikia hatia kwa kejeli niliyokurushia. naomba unisamehe na nitaku-PM tuyamalize
peace
Duh yaani Cheusi umenikumbusha mbali sana. Nakumbuka semister ya tatu chuo niliishi na shoga yangu mmoja, kwa kweli ni ngumu sana ukizingatia kila mtu kakulia kivyake. Tulikuwa tunapika kwa zamu, ikifika zamu yake visingizio haviishi kumbe maskini alikuwa hapendi kupika na mimi kupika napenda saana. Basi tukakubaliana awe anaosha vyombo mie napika, duu hali ilikuwa mbaya manake vyombo hadi siku inaisha havijaguswa, au vinalipuliwa hadi karaha. Ili kuokoa jahazi semister iliyofata kila mtu akaishi kivyake.
Please usiishi na rafiki wako wa karibu maana ni ngumu kuvumilia madhila kitu kinchoweza uhatarisha urafiki wenu
.
Thanx sana dada Cheusi.