Gift Voucher Credit Cards - Where Can I get In Dar

Gift Voucher Credit Cards - Where Can I get In Dar

Buswelu

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2007
Posts
1,998
Reaction score
356
Hellow

Kuna Precedure wakati unataka kuinstall some application kama sio zote kwenye iphone and Ipad inabidi uwe na credit care/Master Card/Visa etc then info zake unaziweka kwenye registration in order kupata hiyo application.

Sasa kama mtu huna hizo card above unaweza tumia Gift Voucher Cards na ukaweza install unacho taka. Je Kuna mtu anaweza kuwa anajua where naweza pata tanzania?

Natanguliza Shukrani.

Buswelu
 
nenda istore pale shoppers plaza wanazo, lakini zipo za pounds (utalipia equivalent tzs kama huna hiyo pesa ya malkia) so nakushauri uende na device yako ili ukishanunua wakufungulie account ya uk store.
source: mimi mwenyewe nimefanya hivyo last week
 
nenda istore pale shoppers plaza wanazo, lakini zipo za pounds (utalipia equivalent tzs kama huna hiyo pesa ya malkia) so nakushauri uende na device yako ili ukishanunua wakufungulie account ya uk store.
source: mimi mwenyewe nimefanya hivyo last week

Mkuu umekuwa msaada mkubwa.....kama mie naweza kufungua account...si naweza tuma mtu akaninunulia then akanitumia halafu nikaendelea na utaratibu mwingine?

Santee sana.
 
Back
Top Bottom