Ni kweli, ghrama ya pasipoti imepanda kutokana na budget mpya ya june 2009??Formu ya kwanza ilikuwa 10.000tsh na wakati kupata ilibaki kama 40.000tsh. hii ndiyo iliviyo mimi nilijua lakini sasa kuna mtu kutoka Uhamiaji anasema bei imepanda?? ni kweli??
Naomba jibu haraka, asante,
Naomba jibu haraka, asante,