Ghosting : Have u ever been ghosted? Tell us ur experience

Hapana kwa nini umehisi hivyo
Nahisi kukufahamu kwa jinsi mwandiko wako ulivo.

Nisahihishe kama nimekosea jina lako linaanzia na B ,unaishi kati ya Dar ,Morogoro na Dodoma mikoa hyo yote mitatu, pia umemaliza degree ya pili hivi karibuni mengine, Utaniambia Pm
 
Kuna mdada mmoja aliwahi kuniambia mtu akimtoa out halafu asimpe hela ndio mwisho hatokaa apokee simu yake wala kujibu SMS, isijekuwa ulikutana na wa hivyo
 
Nahisi kukufahamu kwa jinsi mwandiko wako ulivo.

Nisahihishe kama nimekosea jina lako linaanzia na B ,unaishi kati ya Dar ,Morogoro na Dodoma mikoa hyo yote mitatu, pia umemaliza degree ya pili hivi karibuni mengine, Utaniambia Pm
Hahaha duhh..basi tunafanana mwandiko

Nna digrii moja tu na nmemaliza miaka mingi kdg ishapita...
 
Hahaha duhh..basi tunafanana mwandiko

Nna digrii moja tu na nmemaliza miaka mingi kdg ishapita...
Mtakuwa mnafanana kwa kiasi kikubwa sana, nitamuuliza siku moja,though upelelezi wangu umenipa jibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…