Hatari mkuu. Hiyo imenikuta niliporomoka kiuchumi alafu wale niliowasaidia kuwainua wakawa wako stable, huwezi amini japokua ni familia moja lakini nilisimangwa sana. Kama nilitoka huko nikachukua hela zote na miradi yote nikahonga kwa mara moja.
Kilicho nishangaza kwanini wananisema vibaya na sijafanya kusudi, na huenda nisingetumia kuvu kubwa kuwainua wao ile hali me nisinge ipitia. Na sijawaomba msaada wala nini, nikawa naskia maneno ya chinichini mmoja wao anasema mpaka nimuombe msamaha atanikopa hela kidogo nijikim.
Dunia ngumu sana. Nimekaa kimya nimechanga karata zangu sahzi naanza kurudi kwenye form yangu kwa kasi, watu wamenuna. Wengine wanajichekesha kishoga. This time around nyoka halambi ungi, kila jitu likale lilipo peleke mboga kudadeku.
Kwenye ghistphase i was all alone, compleatly alone. Kuna muda mpaka unaweweseka unahisi dunia ni shimo na umetumbukia pekeako. Noma saana.