Ghost phase kwenye maisha ya mwanaume

Ghost phase kwenye maisha ya mwanaume

Maisha yamenirudisha katika hii phase kila kitu kimekuwa kama ulivyosema ila hili la kutokuwa na mwanamke wa kupunguza uzito hili ndo bado mpaka sasa linanitatiza najiona siwez

Nina miez 6 sasa kwenye nyakati hizi
 
Maisha yamenirudisha katika hii phase kila kitu kimekuwa kama ulivyosema ila hili la kutokuwa na mwanamke wa kupunguza uzito hili ndo bado mpaka sasa linanitatiza najiona siwez

Nina miez 6 sasa kwenye nyakati hizi
Sio lazima uwe accurate kwenye kila kipengere. Ukitiki vipengere 8 kati ya 10 bado utakua kwenye uelekeo sahihi
 
We kijana, kila mada lazima uibuke na hoja ya mishangazi, una mishangazi ya kila rangi.

Pamoja na kua unaumwa bado mishangazi huiachi.
Mkuu niseme ukweli hawa mashangazi wamefanya maisha yangu yawe very proud..

Naimani hata mama angu anajivunia aiseee..
Mashangazi yana penda 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 ooooooh an mi nikipumzikaga hata jpili au weeknd huwa nalala nimechoka aiseee
 
Nasikiaga jf kuna mashangazi tu ambao wapo kwenye stage ya kutafuta retirement plan. Ingawa sina uthibitisho wa hilo lakini kuna namna huwa naona ni narrative ya kweli. Kwa sababu ukigusa vipengere vya bikira, body count na single mother, jinsia KE wengi hapa jf wanakua wakali kweli kweli.
Kuna wengine unakuta wanakuwa wakali sana sijui wanakuwa na shida Gani aisee😃😀😀
 
Back
Top Bottom