Ghorofa linatitia, mbuyu unakaribia kuanguka

Ghorofa linatitia, mbuyu unakaribia kuanguka

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,602
Reaction score
830,349
Kinachoendelea CCM ni wazi kabisa kundi la CCM asili limeamua kutoa ujumbe wa kutisha mno kwa CCM chotara na CCM maslahi wakiwemo wale waliobebwa kwa mbeleko kubwa.

1. Karibia wote waliondooka upinzani kwa kejeli na kebehi nyingi na kujiunga na CCM wamepigwa chini
2. Wapendwa wa mkulu kama Mwakyembe, Makonda nk wamepigwa chini
3. Watu kama Mrisho gambo wamepita

Pamoja na kwamba huu unaweza usiwe mwisho wao kisiasa lakini tayari kengele ya hatari imeshalia. It's too late kufanya lolote.

Yajayo ni mengi, yajayo yanafurahisha, kuna wapenzi huamua kusaliti mahusiano kwa hasira ya kutendwa.

Hii hasira kali ya sasa ikizidi kutamalaki, naona wazi ghorofa linatitia, mbuyu huoooo unapinduka.
 
Utakuwa ni mpuuzi wa hali ya juu kulinganisha uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM na umaarufu wa JPM. Sometimes lazima Mshanajr uelezwe ukweli
Asante kwa mtazamo lakini huwa sipangiwi cha kufanya. Kuniita mpuuzi haimaanishi kuwa mimi ni mpuuzi huo ni mtazamo wako..na katika maisha ukweli si chochote bali uhalisia ndio kila kitu.
 
Hoa hamahama acha wajifunze, chama kilichowafanya kutambulika wamekikimbia, hata jf hamtaki single mothers ha ha haa nani akale makombo huko walishindwa nini leo tuwapokee.

Mioyo yao iko juu juu hawatosheki yaani matumbo yana mapango hawashibi na shukrani hawana.

Hivi wale dada zako waliosema walikuwa wanabakwa kule kwenu wakahamia kwetu wana hali gani.

Una mkoa mzima yaani mkoa ni kama nchi vile maana mpaka bahari unayo, mbaya zaidi hata jina lako ni unga unga tu leo unakuwa hushibi yaani hutosheki pamoja na kuwa huko duniani ushaambiwa usikanyage ambako ndo ulisaidiwa kuwekewa mtoto, baba yako akakukanya sitaki sitaki wewe kichwa kigumu

Haya labda baba akamkomboe huko kapuni.

Anyways, hayanihusu

Siku ulete ya lile jengo lililozaa chemchem huko kwenu.
 
KENZY vipi mbona kama hii mada imekugusa sana kwema?
Kwa kiasi fulani inaweza kuwa imenigusa ila sio kivile maana mi ni mfatiliaji tu we siasa! Kilichonigusa umeusemelea muda badala ya kuuacha muda useme wenyewe.
 
Utakuwa ni mpuuzi wa hali ya juu kulinganisha uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM na umaarufu wa JPM. Sometimes lazima Mshanajr uelezwe ukweli
Umaarufu wake ungekuwa na maana kama hao wana ccm wangepitisha watu wake kwa kura nyingi. Hapa Message to Magufuri is sent and appropriately delivered.

Kwamba, wana CCM hawakubaliani na style ya siasa zake.
 
Back
Top Bottom