Ghetto la robert Rais Mugabe

Sikubali waafrika tuna uwezo mdogo wa kufikiri.

Uchunguzi wa muda mrefu wa sisi tulivyo ambao mimi
nakaubaliana nao ni huu hapa:

Hatua tatu za mtu kukua kisaikolojia ni kuzaliwa na
Id, tamaa zisizowaza wengine za kitoto,
ego, tamaa ya kujiona wewe kwanza japo unaanza kuwaza wengine kidogo,
na superego, ile hali ya kujua vizuri jamii inakutaka uweje.

Id, ego, na super-ego si kufikiri: ni hulka.

waafrika wengi wapo fixed kwenye id. wanasoma sana, wanaweza kumbuka fomula zote duniani
lakini kwa kuwa hawajafanikiwa kupanda ngazi kuiacha id, wanaendelea kuendekeza mahitajio ya kitoto.
ukitaka kujua sikiliza tv. mtaro umechafuka mtaani, watu wanatame serikali ije iuzibue.

Kuna tatizo katika hizi psychoanalytic development stages. tupo fixed somewhere,
hapo kwenye id na ego: na hiki ndicho kinaitwa Miafrika selfish sana. an infantile fixation
and that has nothing to do with ability to remember formulas.

ndiyo maana unaweza kuta mtu ana CV kali sana lakini anafanya madudu very very selfish.

It's an under developed super-ego or a FIXED ID. Hili ndio tatizo la mtu mweusi!



No wonder Prof. Watts kama sijakosea hili jina lake alihitimisha kwenye moja ya tafiti zake (ambayo iliibua mjadala mkubwa sana!!!) kwamba anatilia shaka uwezo wa kufikiri wa watu weusi (waafrika) ukilinganisha na races zingine (watu weupe) akiimaanisha kwamba waafrika wana uwezo mdogo wa kufikiri kuliko watu wepe.....Hivi kama anafikiri sawa sawa huyu mzee anawezaje kuishi kifahari kiasi hiki katikati ya watu wake masikini wa kutupwa?? Ndio mana ataka afie kwenye kiti cha uraisi.
 
Imagine who would have such taste and live in such opulence?

An American Billionaire?
A Saudi Prince?
Louis XIV of France?
Savour the pictures then scroll to the bottom of the page to see who owns this Work of Art.

mansion1.jpg


mansion2.jpg
mansion3.jpg


mansion4.jpg
mansion5.jpg


mansion6.jpg
mansion7.jpg


mansion8.jpg
mansion9.jpg


mansion10.jpg
mansion11.jpg


mansion12.jpg
mansion13.jpg

This Mansion is in Harare and belongs to:

The President of Zimbabwe - Robert Mugabe -

while his people starve, and die because of no medical help....and we are asked to help his people over and over again...he and his family live like this.......his GREED kills his people.....

send this to everyone you know, they can send it to everyone they know, soon the world will know what this man is doing to his people.

He fought the war while others were at home sleeping.
He deserves it let the old man enjoy. Bravo 'BOB' I like your style.
 
i used to believe that fella was a patriot.naona bora nifate ule msemo unaosema trust no one
unaweza ukamuamini leo Dr Slaa afu nayeye akaja kua ivoivo,I HATE POLITICS
 
mbona nyumba ya kawaida,mnataka kusema toka awe rais mshahara wake na malupulupu autoshi kujenga hiyo nyumba,acheni wivu mbona kijana kama justin biba anayo zahid ya hiyo,hio kwangu ni nyumba ya kawaida,hivi mshaona crib ya 50 cent?
 
No wonder Prof. Watts kama sijakosea hili jina lake alihitimisha kwenye moja ya tafiti zake (ambayo iliibua mjadala mkubwa sana!!!) kwamba anatilia shaka uwezo wa kufikiri wa watu weusi (waafrika) ukilinganisha na races zingine (watu weupe) akiimaanisha kwamba waafrika wana uwezo mdogo wa kufikiri kuliko watu wepe.....Hivi kama anafikiri sawa sawa huyu mzee anawezaje kuishi kifahari kiasi hiki katikati ya watu wake masikini wa kutupwa?? Ndio mana ataka afie kwenye kiti cha uraisi.
You need to see beyond the scene to know why these happened and will never happen in the future!! Those days are over! hata wazungu kuna muda walikuwa kama huyu mzee.
 
Mgabe katuwakilisha waafrika kwamba tukiwezeshwa tunaweza. Sio lazima uwe na pua ndefu ili uwe tajiri.
 
Hivi kama umezaa watoto wawili tu na unakuwa na jumba kubwa kama hilo si utapwaya ndani ya nyumba?
 
Mwaka 2006 Picha za nyumba hii hiii ziliwahi ku circulate kwenye emails na madai kuwa ni Nyumba ya Yusuf Manji.
Sasa jengo hilo hilo tena limekuwa la Mugabe?
Huyu mjinga aliyeleta huu uzi ajaribu kumuuzia Shigongo!
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom